
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo juu ya Chuo cha Serikali za Mitaa alipotembelea banda la chuo hicho wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi inayojihusisha na maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) yanayoendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji Dodoma uliopo Mji wa Kiserikali Mtumba yaliyoanza Tarehe 14 hadi 16 Aprili, 2025.
Kauli mbiu katika mafunzo hayo ni “Ugatuzi wa rasilimali fedha katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Mamlaka za Serikali za Mitaa”(Picha na Farida Mkumba).
Leave a comment