Category: Uncategorized

  • Na Jastini Bukebuke Polisi Kata wa Ihanamilo, INSP Yosepha Michael, Julai 20, 2026, alitoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Nyakahengele, Wilaya ya Geita, Mkoa wa Geita, akiwahimiza kuwa wazalendo, wenye nidhamu na bidii katika masomo ili kujijengea msingi imara wa maisha yao ya baadaye. Akizungumza wakati wa elimu hiyo, INSP Michael alisema elimu…

  • Na George Gabriel Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu imeendelea kuimarisha utendaji wa watumishi wa umma kwa kuendesha vikao kazi maalum vinavyolenga kuongeza uelewa kuhusu maadili ya utumishi, uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Vikao hivyo vilivyoratibiwa na Idara ya Utumishi na Utawala vilifanyika kuanzia Julai 14 hadi 17, 2026 katika Tarafa za Maratani,…

  • Na Damasi Kalembwe Mkaguzi wa Polisi wa Kata ya Kijitonyama, INSP Kavula Mizeye, ametoa mafunzo kuhusu maadili, malezi bora na kupinga ukatili wa kijinsia kwa vijana na watoto 39 waliokusanyika katika Uwanja wa Mpira wa Vinyago, uliopo Mtaa wa Nzasa. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, INSP Mizeye alisema lengo ni kuwajenga vijana katika misingi bora…

  • Na Greyson Makabe Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Madai (Civil Procedure Code), yaliyofanyika mwaka 2023, yameendelea kuzua mjadala mpana miongoni mwa mawakili, wasomi wa sheria na wadau wa mfumo wa haki nchini. Miongoni mwa marekebisho yanayobishaniwa zaidi ni kifungu cha 13, kinachowataka wahusika wa mgogoro wa madai kutafuta suluhu kupitia upatanisho kabla ya kufungua…

  • Na George Gabriel Serikali imewataka wataalamu wa tiba asili na tiba mbadala nchini kuendelea kutoa huduma kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyowekwa ili kuhakikisha usalama wa wananchi na kuongeza uaminifu wa huduma hizo katika jamii. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu, Ibrahim Mwanauta, wakati akifungua…

  • Na Jastini Bukebuke, Geita Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ludete wamepatiwa elimu kuhusu majukumu ya Dawati la Jinsia na Watoto jana walipotembelea Kituo cha Polisi Katoro kilichopo Mji Mdogo wa Katoro, Wilaya ya Geita kwa lengo la kujifunza shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Jeshi la Polisi. Akizungumza na wanafunzi hao, Mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Geita,…

  • Na Jastini Bukebuke, Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeendelea kuimarisha usalama barabarani kwa kutoa elimu kwa madereva wa magari madogo na makubwa wanaofanya kazi katika kampuni za GGML na Capital Drilling. Elimu hiyo ilitolewa katika eneo la Shift Change Site, Kata ya Nyalwanzaja, Tarafa ya Busanda, Wilaya ya Geita, ikiwa ni sehemu ya…

  • Na Damasi Kalembwe Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) kilifanya kikao kazi na madereva wa mabasi ya mwendokasi katika ukumbi wa Chuo cha Teknolojia cha Dar es salaam (DIT) ili ,  kujadili na kuweka mikakati ya kupunguza ajali zinazotokea katika mfumo wa usafiri wa mabasi yaendayo haraka. Katika…

  • Na Damasi Kalembwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kupitia Kitengo cha Ushirikishwaji wa Jamii, limetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya New Life na Huruma Children Home, vilivyopo Wilaya ya Kinondoni, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha ustawi wa watoto hao na kudumisha mahusiano mema kati ya Jeshi la…