Category: Uncategorized

  • Na Cosmas Msuha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na watanzania waishio Jamhuri ya Korea na kuwahimiza kuendelea kuwa mabalozi wazuri wa Tanzania kwa kuitangaza nchi na fursa mbalimbali katika sekta za uwekezaji, biashara na utalii. Akizungumza katika mkutano uliofanyika jana jijini Seoul, Balozi Dkt.…

  • Na Cosmas Msuha WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekagua ujenzi wa Barabara ya Noranga (Doroto)–Itigi (Mlongojii) yenye urefu wa kilomita 25 inayojengwa katika Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida kwa gharama ya shilingi bilioni 29.6. Dkt. Mwigulu amefanya ukaguzi huo leo wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa mradi huo kutoka kwa Mkurugenzi wa…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa elimu ya darasani pamoja na mafunzo ya ufundi yanayotolewa katika mfumo rasmi bado hayajawawezesha wahitimu kuwa wabunifu, mahiri na wenye uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha na ajira katika mazingira halisi. Hayo yamebainishwa leo katika mhadhara wa wazi uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, ambapo…

  • Na Cosmas Msuha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema katika mwaka wa fedha 2026/27 inatarajia kuajiri watumishi wapya 10,919 pamoja na kutekeleza vipaumbele vinane vinavyolenga kuimarisha usalama, huduma za uraia na matumizi ya teknolojia nchini. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo bungeni jijini Dodoma Mei 25, 2026, Waziri wa Mambo…

  • Na Cosmas Msuha Shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Namungo uliopo Wilaya ya Ruangwa zimeendelea kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa eneo hilo, huku wachimbaji waliokuwa wakihangaika kimaisha wakianza kunufaika na maendeleo kupitia sekta ya madini. Akizungumza kwa niaba ya Afisa Madini Mkazi wa Lindi, Dickson Joram alisema shughuli za…

  • Na Cosmas Msuha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Msalato Satellite City unaotekelezwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi (KKK) katika eneo la Msalato jijini Dodoma. Ziara hiyo ya ukaguzi ililenga kujionea…

  • Na Mwandishi Wetu, Songea Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Ruvuma limeendelea kutoa elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Good Shepherd Montessori iliyopo Mjimwema, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Elimu hiyo ilitolewa na watendaji wa Dawati la Elimu kutoka Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa…

  • Na Cartace Ngajiro, Tanga Serikali ya Jamhuri ya Rwanda imesema itaendelea kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Bandari ya Tanga pamoja na kuendelea kutumia bandari hiyo kupitishia mizigo yake. Kauli hiyo imetolewa na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Jenerali Patrick Nyamvumba, alipofanya ziara katika Bandari ya Tanga kwa lengo la kujionea utendaji kazi wa bandari…

  • Na Cosmas Msuha WOMESA imewataka wanawake kutumia fursa mbalimbali za ajira zinazopatikana katika sekta ya bahari, ambazo zinagusa nyanja tofauti za kijamii na kiuchumi. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa TASAC, Mwatano Maganga, wakati wa kongamano la maadhimisho ya umoja huo lililofanyika Bagamoyo, mkoani Pwani. Maganga alisema sekta ya…

  • Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Wananchi wa Kijiji cha Maposeni wametakiwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za wahalifu na wageni wanaowatia shaka katika maeneo yao ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Kauli hiyo ilitolewa na Polisi Kata wa Maposeni, Mkaguzi wa Polisi (Insp.) Ramadhani Duru, alipokuwa akizungumza na wananchi hao huku akisisitiza umuhimu wa…