Category: Uncategorized

  • Na Cosmas Msuha Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuimarisha ushirikiano wa kibunge kimataifa kupitia ushiriki wake katika Mkutano wa 5 wa Mabunge ya Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM-PN). Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Daniel Sillo (MB), akimwakilisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, alitoa msimamo huo wakati…

  • Na Mwandishi Wetu, Songea Wanafunzi wa Shule ya Msingi Juhudi iliyopo Kata ya Ruvuma, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wametakiwa kuzingatia nidhamu na kujituma katika masomo ili waweze kutimiza ndoto zao za kielimu na kuwa raia bora wa baadaye. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Songea, Mkaguzi wa…

  • Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mahakama ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela Saidi Saidi Chalamanda (49), mkazi wa Kijiji cha Fundimbaga, baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki pombe haramu aina ya gongo. Hukumu hiyo ilisomwa Aprili 14, 2026 na Hakimu wa Mahakama hiyo, S.J. Mwampashe, kufuatia ushahidi uliowasilishwa mahakamani…

  • Na Cosmas Msuha Katika juhudi za kudumisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa, vijana wametakiwa kuwa wakakamavu, wazalendo na kuichukia rushwa inavyochangia mmomonyoko wa maadili nchini. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, wakati akizindua programu ya “Vijana Plattform” iliyoambatana na semina ya makundi mbalimbali ya vijana katika Manispaa ya Ubungo jijini…

  • Na Vincent Mpepo Makundi sogozi ya mitandao ya kijamii kama WhatsApp, Telegramu na programu tumizi nyingine tunazozifahamu ni matokeo ya maendeleo ya sayansi, teknolojia ya habari na mawasiliano na yamekuwa ni njia yenye nguvu na rahisi katika mawasiliano na kujenga ushirikiano katika jamii. Ikumbukwe kuwa matumizi ya makundi haya huwa na taratibu zinazoongoza uendeshaji wake…

  • Na Farida Mkumba, Dodoma Hospitali ya Afya ya Akili ya Taifa Mirembe imeombwa kuimarisha ushirikiano na taasisi binafsi ili kuwezesha tathmini ya watoto wenye usonji kufanyika kila robo mwaka, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za matibabu na ufuatiliaji wa karibu. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza, Dkt. Omary Ubuguyu, kwa niaba…

  • Na Cosmas Msuha Katika juhudi za kupunguza ajali za barabarani zinazohusiana na kazi, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) jijini Dar es Salaam. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha usalama barabarani na kupunguza athari zake kwa wafanyakazi pamoja na uchumi wa taifa. Akizungumza katika hafla hiyo,…

  • Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Michael Ngonyani (38), mkazi wa Mtyangimbole, kwa tuhuma za kujihusisha na uhalifu mbalimbali ikiwemo wizi wa magari katika Mkoa wa Mbeya. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Marco…

  • Na Mwandishi Wetu, Nachingwea – Lindi Chama Kikuu cha Ushirika (RUNALI), kinachojumuisha wilaya za Nachingwea, Ruangwa na Liwale, kimetoa mafunzo kwa viongozi wa vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) kutoka katika wilaya hizo, yakilenga kuongeza ufanisi na kuimarisha mipango ya vyama hivyo. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo jana kwa naiba ya Mkuu wa Mkoa, wilayani…