Category: Uncategorized
-
Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watafiti na wataalamu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kufanya upembuzi yakinifu ili kubaini mahitaji halisi ya huduma za afya nchini. Waziri Mkuu Majaliwa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa kongamano la 13 la kisayansi la chuo hicho lililofanyika kwa siku mbili juzi…
-
Na Vincent Mpepo Imeelezwa kuwa matatizo mengi wayapatayo wakristo katika jamii muda mwingine ni kutokana na kiburi au kupuuzia sauti ya Roho Mtakatifu ndani yao wanapofanya maamuzi katika masuala mbalimbali. Hayo yameelezwa jana na Mwinjilisti, Thomas Mwakatobe wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa Buguruni wakati akihuburi katika ibada ya Siku ya Bwana…
-
https://www.facebook.com/share/v/1CXjBTHL5p
-
Na Mwandishi Wetu Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) anayesimamia Uhimilivu wa Kifedha na Uendeshaji wa Sekta ya Fedha, Sauda Msemo amesema sekta ya fedha nchini inapaswa kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia duniani ili kulinda usalama wa kiuchumi na kuchochea maendeleo. Msemo alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es…
-
Na Issa Mwandagala, Songwe Askari wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Songwe wametakiwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii kwa kuzingatia maadili ya kazi wakati wakitekeleza majukumu yao ya kusimamia sheria za usalama barabarani ili kuendelea kujenga taswira nzuri kwa Jeshi la Polisi. Hayo yameelezwa Leo na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe,…
-
Na Mwandishi Wetu Wito umetolewa kwa taifa na jumuiya za kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti ongezeko la taka za plastiki ambazo ni miongoni mwa changamoto kubwa za kimazingira zinazoikumba dunia kwa sasa. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yaliyoambatana na usafi wa mazingira na yaliyoandaliwa na Shirika…