Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- DC Bura Afunga Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi kwa Washiriki 1,001 Geita
- Burudika na Nyimbo za Ekaristi Takatifu
- Sungusungu Watahadharishwa Kutojichukulia Sheria Mkononi
- Serikali Yaingia Makubaliano na DIT Kuimarisha Usimamizi wa Maafa
- Waziri Kombo Akutana na Jumuiya ya Diaspora ya Tanzania Nchini Korea
about
Category: Uncategorized
-
Na Alvar Mwakyusa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa mvua zitaendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi, hasa katika kanda ya Ziwa Victoria, magharibi mwa nchi, na nyanda za juu kusini-magharibi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa, mvua zinazoambatana na ngurumo za radi zinatarajiwa katika maeneo machache…
-
Na Cartace Ngajiro, Tanga Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran. Akiongea mara baada ya kupokea meli hiyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Balozi Batilda Burian, alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa…
-
Na Ummy Kondo, Dodoma Wanakikundi wa PMO LEYD wametembelea na kutoa misaada mbalimbali kwa wazee wa Kambi ya wazee Sukamahela Wilayani Manyoni, Singida. Msaada hiyo ilitolewa na wanakikundi hao hivi karibuni ikiwa ni sehemu ya taratibu na utamaduni wa kikindi hicho ili kuyafikia makundi yenye uhitaji na kwamba watumishi, mashirika na watu binafsi wajenge utaratibu…
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma. Waandishi wa habari nchini wametakiwa kuandika na kuripoti habari zinazohamasisha amani ili kuwa na taifa endelevu katika sekta mbalimbali kwa ujenzi wa nchi. Akizungunza na waandishi wa habari zaidi ya 100 kutoka mikoa mbalimbali nchini wakati wa mafunzo maalumu kuhusu uandishi wa habari wa amani Jijini Dodoma, Naibu Waziri wa Mambo…
-
The Office Management Secretary of the Open University of Tanzania’s Dodoma Regional Centre, Gracehilda Urassa, provides clarification on admission matters to newly admitted and continuing students. To her right is the Centre Director, Dr. Mohamed Msoroka. (By Vincent Mpepo). By Ummy Kondo, Dodoma New and continuing students of the Open University of Tanzania (OUT) have…
-
Na Ummy Kondo, Dodoma Wanafunzi wapya na wanaoendelea wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania wametakiwa kuwajibika katika masomo na kuwa na nidhamu ili wasome na kuhitimu kwa wakati. Wito huo ulitolewa na Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Alex Makulio katika hotuba yake ya ukaribisho kwa wanafunzi wapya na wanaoendelea kwa Mwaka wa masomo wa…