Category: Uncategorized
-
Na Stella Ngenje-Mlete Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Umeme Tanzania -Tanesco Mkoani Ruvuma imeanza kulipa fidia kwa wananchi waliopisha maeneo yao kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa gridi ya taifa ya Msongo wa 220KV kutoka Songea hadi Tunduru ambapo zaidi ya wananchi 200 watanufaika na fidia hiyo. Wanufaika wa…
-
By Vincent Mpepo African countries have been called upon to work together instead of acting alone in the fight against poverty and exploitation. This cooperation would help fulfill the dreams of Africa’s founding leaders, such as Mwalimu Julius Nyerere and Nelson Mandela. This call was made during an academic forum held yesterday at Johari Rotana…
-
Issa Mwandagala, Songwe Madereva wanaosafirisha abiria na mizigo kwenda sehemu mbalimbali ndani na nje ya Mkoa wa Songwe wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa za madereva wenzao wazembe ili hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yao. Hayo yalisemwa jana na Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Songwe,…
-
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akizungumza na wadau wa kemikali bashirifu zaidi ya 40 wakati akifungua kikao cha wadau wa Kemikali Bashirifu na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kilichofanyika katika hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam, Mei 28, 2025. Na Okello Thomas Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa…
-
By Vincent Mpepo The Open University of Tanzania (OUT) will launch a Bachelor’s programme in Records and Archives Management starting from the 2025/2026 academic year after fulfilling the requirements set by the Tanzania Commission for Universities (TCU). Speaking during a stakeholders’ engagement workshop held today on the programme in Kinondoni- Dar es salaam, Assistant Lecturer…
-
Wadau wa Utunzaji wa Nyaraka na Kumbukumbu katika picha ya pamoja leo wakati wa warsha ya mapitio ya Mtaala wa Shahada ya Utunzaji wa Nyaraka na Kumbukumbu iliyifanyika leo jijini Dar es salaam na kuhusisha wanataaluma, waanafunzi, wahitimu, waajiri, vyama vya kitaaluma na wafanyakazi katika kada hiyo katika sekta za umma na binafsi. Na Vincent…
-
Na Gloria Maganza, Dodoma Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito kwa vijana wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2025 kutoka shule zote Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka 2025. Akiwasilisha wito huo jana kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Kijenga Taifa…