Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- DC Bura Afunga Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi kwa Washiriki 1,001 Geita
- Burudika na Nyimbo za Ekaristi Takatifu
- Sungusungu Watahadharishwa Kutojichukulia Sheria Mkononi
- Serikali Yaingia Makubaliano na DIT Kuimarisha Usimamizi wa Maafa
- Waziri Kombo Akutana na Jumuiya ya Diaspora ya Tanzania Nchini Korea
about
Category: Uncategorized
-
Na Vincent Mpepo Wadahiliwa wa Shahada za Uzamili na Uzamivu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Mkoa wa Dar es salaam wameelezea mipango na mikakati yao binafsi ili kuhakikisha wanamaliza masomo yao kwa wakati na kwa mafanikio. Wakizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano, wadahiliwa hao walionesha kufurahia mafunzo elekekezi yaliyotolewa na chuo hicho kwani yamewafungua…
-
Na Mack Francis-Arusha Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulazizi Abubakari Chende almaarufu Dogo Janja, ameibuka mshindi wa kura za maoni na kutangazwa rasmi kuwa mgombea udiwani wa CCM katika Kata ya Ngarenaro, jijini Arusha. Katika uchaguzi huo wa ndani wa chama uliofanyika hivi karibuni,…
-
Na Mack Francis – Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuweka mikakati ya pamoja ya kupambana na rushwa. Majaliwa alitoa wito huo hivi karibuni 2025 Jijini Arusha wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu…
-
Na Mack Francis-Arusha Serikali imetoa shilingi bilioni 139 kwa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara kwa ajili ya kuwezesha utekelezaji wa miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji, ikiwa ni jitihada za kuwaondoa wakulima kwenye kilimo cha kutegemea mvua. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga aliyaema hayo wakati akifungua Maonesho ya 31 ya Kilimo na…
-
Na Mack Francis, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Marianne Louise Young wamekubnaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya afya na utalii mkoani Arusha. Mazungumzo hayo yalifanyika hivi karibuni wakati Balozi Young akiwa ziarani mkoani humo, akiambatana na Mkuu wa Diplomasia ya Uchumi wa Ubalozi wa Uingereza nchini,…
-
Na Cartace Ngajiro Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda amewaasa wafanyabiashara wa mazao ya kilimo nchini kutumia Bandari ya Tanga kusafirsha mazao yao kwenda kwenye Soko la Kimataifa. Pinda aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nanenae Kanda ya Mashariki 2025, yanayojumuisha Mikoa minne Tanga, Dar es Salama, Pwani na Morogoro yanayofanyika katika Uwanja…
-
Na Mack Francis Zaidi ya vijana na viongozi wa mila wapatao elfu kumi kutoka jamii ya kifugaji ya Kimasai wamekusanyika katika viwanja vya Elerai, jijini Arusha, kutoa adhabu ya kimila kwa vijana wawili waliokiri kutumia lugha chafu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, kupitia video iliyosambazwa mitandaoni.…
-
Na Tabia Mchakama, Dar es salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) jana wameingia kwenye makubaliano rasmi ya ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza na kupanua sekta ya fedha nchini. Makubaliano hayo yalisainiwa jijini Dar es Salaam kati ya Kamishna wa Bima, Dkt. Baghayo…