Category: Uncategorized
-
Na Vincent Mpepo Mwinjilisti Neema Mhilu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) amesema suala la wakristo kuishi pamoja ni suala la kibiblia na kusisitiza kuwa Umoja wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania unasawiri uhalisia huo. Mwinjilisti Mhilu aliyasema hayo jana wakati wa mahuburi katika ibada ya Siku ya 5 baada ya Pasaka katika Mtaa…
-
Na Gloria Maganza, Dodoma Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wa Kata ya Haubi wamefanikisha operesheni maalumu ya kutokomeza kilimo haramu cha bangi katika maeneo ya Hifadhi ya Milima ya Haubi, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma. Akizungumza…
-
By Vincent Mpepo African countries have been called upon to work together instead of acting alone in the fight against poverty and exploitation. This cooperation would help fulfill the dreams of Africa’s founding leaders, such as Mwalimu Julius Nyerere and Nelson Mandela. The call was made during an academic forum held yesterday at Johari Rotana…
-
By Vincent Mpepo Academics and researchers in African higher learning institutions have been urged to conduct studies that provide practical solutions for the sustainable use of marine resources in order to effectively implement the Blue Economy concept and drive Africa’s economic and social development. A group photo of academics from the Faculty of Arts and…
-
Na Annamaria John Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji na Serikali ya Ujerumani kupitia Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) zimesaini mkataba ili kutekeleza Mradi wa Uhifadhi wa Maeneo Oevu na Baioanuwai ya Kidakio cha Katuma, Mpanda. Mradi wa IKI Katuma utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu kwa gharama ya kiasi cha Euro 4,000,000.00…