Category: Uncategorized
-
Participants of NOREC Project involving lecturers, trainers, and students from Tanzania and Norway held today at the Open University of Tanzania. During the discussion, successes and challenges were outlined in order to achieve the goals of the project. (Photo by Vincent Mpepo, OUT) By Vincent Mpepo, OUT The implementation of a partnership project between the…
-
Na Vincent Mpepo, KwembeSerikali ya Mtaa wa Kwembe imeishukuru serikali kwa namna inavyojali wananchi kupitia uboreshaji wa miundombinu na huduma za afya.Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano wa wa Kwanza na wa wananchi wa Mtaa huo uliofanyika hivi karibuni katika ofisi za mtaa huo ambapo masuala mbalimbali…
-
Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa utekelezaji wa malipo ya mafao sanjali na kikokotoo kwa wastaafu ni matokeo ya tafiti mbalimbali ambazo zilionesha ya ulipaji kidogokidogo badala ya kulipa kwa mkupuo unaweza kusaidia zaidi wastaafu tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu Taifa, Elia…
-
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Mhandisi. Charles Sangweni (kushoto). Kulia ni Katibu wa Baraza Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli ( PURA) Ebeneza Mollel wakati wa Kikao cha Baraza hilo kilichofanyika…
-
testing the post