Category: Uncategorized

  • Participants of NOREC Project involving lecturers, trainers, and students from Tanzania and Norway held today at the Open University of Tanzania. During the discussion, successes and challenges were outlined in order to achieve the goals of the project. (Photo by Vincent Mpepo, OUT) By Vincent Mpepo, OUT The implementation of a partnership project between the…

  • Na Vincent Mpepo, KwembeSerikali ya Mtaa wa Kwembe imeishukuru serikali kwa namna inavyojali wananchi kupitia uboreshaji wa miundombinu na huduma za afya.Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano wa wa Kwanza na wa wananchi wa Mtaa huo uliofanyika hivi karibuni katika ofisi za mtaa huo ambapo masuala mbalimbali…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa utekelezaji wa malipo ya mafao sanjali na kikokotoo kwa wastaafu ni matokeo ya tafiti mbalimbali ambazo zilionesha ya ulipaji kidogokidogo badala ya kulipa kwa mkupuo unaweza kusaidia zaidi wastaafu tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu Taifa, Elia…

  • Mwinjilisti Kiongozi wa Mtaa wa Kwembe, Emeline Mzava na Mtendakazi Anna Mauki pamoja na wanakwaya wa kwaya hiyo wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa Albamu ya kwanza ya Kwaya Kuu ya Mtaa huo Siku ya Jumapili, (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo, Kwembe Viongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mtaa wa…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kampasi ya Mloganzila kimewataka Wananchi wa Kwembe na maeneo jirani kuchangamkia fursa ya kambi maalumu ya kupima afya bure ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Elimu ya Juu kwa mageuzi ya kichumi (HEET). Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Wataalamu mbalimbali wanaoishi na kufanya kazi katika Mtaa wa Kwembe Ubungo Jijini Dar es salaam wamebainisha fursa na changamoto mbalimbali za kimaendeleo katika Mtaa huo huku huduma za jamii na miundombinu zikitajwa. Hayo yamejitokeza katika mkutano wa kwanza wa serikali ya Mtaa uliofanyika jana katika ofisi za mtaa huo jana huku…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Eneo ambalo lililopangwa kutumika kama soko limebadilishwa matumizi na kuwa machinjio na mnada wa mifungo kitu kinachotajwa kitaongeza idadi ya wasafiri kuja na kutoka mtaani hapo na kuchochea maenedeleo ya Mtaa wa Kwembe Ubungo jijini Dar es salaam. Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano…

  • Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Mhandisi. Charles Sangweni (kushoto). Kulia ni Katibu wa Baraza Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli ( PURA) Ebeneza Mollel wakati wa Kikao cha Baraza hilo kilichofanyika…

  • Mwalimu Bupe Mwabenga akifundisha  wakati ibada ya Jumapili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mtaa wa Kwembe jijijini Dar es salaam Na Vincent Mpepo, Kwembe Wanandoa wamekumbushwa kuishi kwa kadiri ya mpango wa maagizo ya Mungu ili kuepuka migogoro inayotokana na mwingiliano wa majukumu kati yao. Wito huo umetolewa Jumapili  na Mwalimu Bupe…