Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Serikali Yapongezwa Utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote
- TPF–NET Ruvuma Yawashika Mkono Watoto Wenye Uhitaji Songea
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
about
Category: Uncategorized
-
Na Tabia Mchakama Wanawake TIRA wamejumuika na Wanawake wengine kutoka sekta ya Fedha Tanzania kushiriki Mkutano Mkuu wa Mwaka ulioandaliwa na jumuiya yao (TAWiFA) ambapo DKt. Doto Biteko alikua Mgeni Rasmi. Akisoma hotuba yake Mhe. Biteko alisisitiza juu ya elimu ya fedha kwa wanawake wa vijijini ili waepukane na mikopo umiza inayosababisha kuchukuliwa baadhi ya…
-
Sehemu ya wadahiliwa wapya wa fani mbalimbal na katika ngazi mbalimbali waliohudhuria mafaunzo elekezi siku ya Jumamosi katika Kituo cha Mkoa cha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dodoma. (Picha kwa niaba ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Kituo cha Mkoa wa Dodoma).
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo juu ya Chuo cha Serikali za Mitaa alipotembelea banda la chuo hicho wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi inayojihusisha na maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) yanayoendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji Dodoma uliopo Mji wa Kiserikali Mtumba yaliyoanza…
-
Na Tabia Mchakama Ujumbe wa watu 12 kutoka Eswatini ukiongozwa na Naibu Spika wa Bunge la Nchi hiyo Madala Mhlanga umezuru ofisi ndogo za Makao Makuu ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) Dar es salaam kwa lengo la kupata uzoefu wa masuala mbambali ya kibima ikiwemo usimamizi wa soko na maswala ya kisheria.…
-
Na Gabriel Msumeno, Pwani Watanzania wametakiwa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ili kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuwachagua viongozi watakaowaongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo. Wito huo umetolewa na Mkimbiza Mwenge Kitaifa, Ismail Ali Ussi akiwa katika Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani ambako anaendelea kukimbiza Mwenge wa Uhuru. “Kila…