Category: Uncategorized
-
Na Sylvester Richard- Singida Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga akihutubia wananchi wa Mkoa wa Singida waliofika katika ukumbi wa RC Mission Manispaa ya Singida kwenye hafla ya kumuaga aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo DCP Stella A. Mutabihirwa aliyehamishiwa Makao Makuu ya Polisi na kumkaribisha Kamanda SACP Amon Daudi Kakwale. Katibu…
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida SACP Amon Daudi Kakwale akiongea na makundi ya watu katika ukumbi wa mikutano uliopo kwenye jengo la Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida. Na Sylvester Richard- Singida Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida SACP Amon Daud Kakwale amewataka viongozi wa Serikali za Mitaa kuwatumia Polisi Kata…
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego akiongea na watumishi wa umma Mkoa wa Singida katika kituo cha mabasi Ikungi kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani. Na Sylvester Richard-Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego amewataka watumishi wa umma Mkoa wa Singida kuisikiliza na kuielewa hotuba Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
-
Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa ujio wa teknolojia mpya unapaswa kuchukuliwa kwa mapokeo chanya ili isadie katika mifumo ya ujifunzaji na usomaji katika ngazi zote za elimu badala ya kuweka vizuizi vingi katika utekelezaji wake. Hayo yamebainishwa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Elifas Bisanda wakati wa kusaini makubaliano kati…
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego akiongea na wananchi wa Mkoa wa Singida katika maadhimisho ya miaka 60 ya kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mji Mdogo wa Kiomboi, Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida. Na Sylvester Richard, Singida Watanzania wamekumbushwa kuuenzi muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya kazi kwa maarifa na…
-
By Vincent Mpepo, OUT The Vice Chancellor of the Open University of Tanzania, Professor Elifas Bisanda exchanging partnership agreements with Professor Egon Werlen of Swiss Distance University of Applied Sciences during the MoU signing held today in Kinondoni, Dar es Salaam (Photo by Vincent Mpepo). The Open University of Tanzania and Swiss Distance University of…
-
Na Mwandishi wetu, Dar es salaam Kanisa la DPA la jijini Dar es salaam litafanya maadhimisho ya miaka minne tangu kuanzishwa kwake kama sehemu tathimini na shukrani kwa Mungu. Hayo yamebainishwa na Mchungaji muasisi wa kanisa hilo, Hanington Kabuta wakati wa mahojiano na mwandishi wetu huku akitanabaisha kuwa madhabahu hiyo ya DPA imekuwa baraka kwa…
-
RC Dendegu Kuimarisha Ushirikiano na TCCIA Na Sylvester Richard, Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akiongea na wajumbe kutoka Chama cha Wafanyabiashara, Wakulima na wenye Viwanda Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Singida kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwake leo. Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu ameuhakikishia uongozi wa Jumuiya ya wafanyabiashara (TCCIA) Mkoa wa…
-
Na Vincent Mpepo, Kwembe Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT amewakumbusha wanawake kuvaa mavazi ya heshima kanisani ili kuendelea kuwa walezi wazuri kwa watoto na jamii. Mchungaji Dkt.Mwatumai Mwanjota aliyasema hayo wakati akihubiri katika ibada ya Jumapili Mtaani hapo na kuwataka wajijengee heshima kwa mwenendo mwema ikiwemo mavazi. “Wakati mwingine akina mama…
-
Na Vincent Mpepo, Morogoro Wakristo wakatoliki nchini wamekumbushwa kuienzi imani yao na kuepuka kufuata upepo wa mijuiza hivyo kudumu na kutohamahama. Hayo yamebainishwa wakati mahubiri na tafakari katika ibada ya Jumuiya Ndogondogo ya Mtakatifu Alfonsi iliyofanyika kwa mwanajumuiya Dkt.Issaya Lupogo wa Kihonda na kuhudhuriwa na wanajumuiya hiyo kama ilivyo kawaida ya kanisa hilo. Katibu wa…