Category: Uncategorized

  • Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego akiongea na wananchi wa Mkoa wa Singida katika maadhimisho ya miaka 60 ya kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mji Mdogo wa Kiomboi, Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida. Na Sylvester Richard, Singida Watanzania wamekumbushwa kuuenzi muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya kazi kwa maarifa na…

  • By Vincent Mpepo, OUT The Vice Chancellor of the Open University of Tanzania, Professor Elifas Bisanda exchanging partnership agreements with Professor Egon Werlen of Swiss Distance University of Applied Sciences during the MoU signing held today in Kinondoni, Dar es Salaam (Photo by Vincent Mpepo). The Open University of Tanzania and Swiss Distance University of…

  • Na Mwandishi wetu, Dar es salaam Kanisa la DPA la jijini Dar es salaam litafanya maadhimisho ya miaka minne tangu kuanzishwa kwake kama sehemu tathimini na shukrani kwa Mungu. Hayo yamebainishwa na Mchungaji muasisi wa kanisa hilo, Hanington Kabuta wakati wa mahojiano na mwandishi wetu huku akitanabaisha kuwa madhabahu hiyo ya DPA imekuwa baraka kwa…

  • RC Dendegu Kuimarisha Ushirikiano na TCCIA Na Sylvester Richard, Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akiongea na wajumbe kutoka Chama cha Wafanyabiashara, Wakulima na wenye Viwanda Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Singida kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwake leo. Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu ameuhakikishia uongozi wa Jumuiya ya wafanyabiashara (TCCIA) Mkoa wa…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT amewakumbusha wanawake kuvaa mavazi ya heshima kanisani ili kuendelea kuwa walezi wazuri kwa watoto na jamii. Mchungaji Dkt.Mwatumai Mwanjota aliyasema hayo wakati akihubiri katika ibada ya Jumapili Mtaani hapo na kuwataka wajijengee heshima kwa mwenendo mwema ikiwemo mavazi. “Wakati mwingine akina mama…

  • Na Vincent Mpepo, Morogoro Wakristo wakatoliki nchini wamekumbushwa kuienzi imani yao na kuepuka kufuata upepo wa mijuiza hivyo kudumu na kutohamahama. Hayo yamebainishwa wakati mahubiri na tafakari katika ibada ya Jumuiya Ndogondogo ya Mtakatifu Alfonsi iliyofanyika kwa mwanajumuiya Dkt.Issaya Lupogo wa Kihonda na kuhudhuriwa na wanajumuiya hiyo kama ilivyo kawaida ya kanisa hilo. Katibu wa…

  • Kaimu Mkuu wa Dawati la jinsia na watoto Wilaya ya Singida Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Exaud Waya akitoa elimu juu ya ukatili wa kijinsia kwenye kongamano la watoto waishio katika mazingira magumu katika ukumbi wa Vatican maeneo ya Mwenge, Manispaa ya Singida. Na Sylvester Richard -Singida Kaimu Mkuu wa Dawati la jinsia na watoto Wilaya…

  • By Vincent Mpepo, OUT It is creditable hearing something from the authority as the profession of journalism relies on as the best way to ensure authenticity of information and trust. Academicians are also entrusted with this feature as they are known to be knowledgeable in certain areas of specialization based on what they majored in…

  • Na Grace Mwakalinga, Dar es Salaam Idadi ya watoto wenye ulemavu wanaosoma  katika Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko iliyopo jijini Dar es Salaam imeongezeka baada ya Chuo Kikuu Huria Tanzania kwa kushirikiana na vyuo vikuu kutoka Norway kuanzisha programu ya kuwawezesha wanawake wenye watoto shuleni hapo kujifunza shughuli za  ujasirimali ili kujiingizia kipato. Hayo yamebainika…

  • Na Grace Mwakalinga, Dar es Salaam Vyuo vikuu viwili kutoka nchini Norway vimetoa msaada wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa watoto wenye mahitaji maalum, Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko iliyopo jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati kukabidhi vifaa hivyo, Profesa Bente Dale Malones, alisema vifaa hivyo vitapunguza tatizo la uhaba wa nyenzo za kufundishia,…