Category: Uncategorized

  • Na Vincent Mpepo, OUT Serikali imetakiwa kuweka mazingira wezeshi kwa taasisi zake ili kuwa namna nzuri ya kutekeleza majukumu kwa taasisi, wakala na mashirika yake ili kuepusha changamoto za mafunzo ya zimatoto katika mambo yake na kufanya vitu vyenye tija kwa maslahi ya umma. Wito huo umetolewa na wafanyakazi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania…