
Kulia ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Iramba SSP Brainer Robert akiteta Jambo na Muuguzi Mfawidhi Hospitali ya Wilaya ya Mkalama, Wilson Augustin (katikati) muda mfupi baada ya kupoke msaada uliotolewa na Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wanawake (TPF NET) Mkoa wa Singida katika Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambapo wametoa msaada kwa wahitaji kwenye hospitali ya Wilaya Mkalama.

Pichani ni Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wanawake (TPF NET) Mkoa wa Singida wakijiandaa kwenda Wilaya ya Mkalama katika Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa lengo la kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wahitaji katika hospitali ya Wilaya Mkalama tarehe 03/12/2025.

Leave a comment