Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
- DC Moyo Agawa Miche ya Mikorosho kwa Wakulima Nachingwea
- Mt. Kizito Makuburi – Buriani Baba Pengo (Official Music Video)
about
Category: Uncategorized
-
Na Mack Francis Zaidi ya vijana na viongozi wa mila wapatao elfu kumi kutoka jamii ya kifugaji ya Kimasai wamekusanyika katika viwanja vya Elerai, jijini Arusha, kutoa adhabu ya kimila kwa vijana wawili waliokiri kutumia lugha chafu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, kupitia video iliyosambazwa mitandaoni.…
-
Na Tabia Mchakama, Dar es salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) jana wameingia kwenye makubaliano rasmi ya ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza na kupanua sekta ya fedha nchini. Makubaliano hayo yalisainiwa jijini Dar es Salaam kati ya Kamishna wa Bima, Dkt. Baghayo…
-
Na Vincent Mpepo Wakristo wametakiwa kufanya kila kitu wakitanguliza upendo kwani upendo huondoa changamoto mbalimbali katika maisha ya kimwili na kiroho. Wito huo umetolewa na Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Obed Songoyo wakati akihubiri katika ibada Siku Jumapili, katika Mtaa wa Nambere, Usharika wa SokoniII Siku ya Bwana ya sita (06) baada…
-
By Tabia Mchakama Dar es salaam – In a significant stride toward safeguarding Tanzania’s agricultural sector from the adverse effects of climate change, the Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA) has joined hands with CRDB Bank PLC and the National Insurance Corporation (NIC) of Tanzania to spearhead the implementation of the Tanzania Agriculture Climate Adaptation Technology…
-
Na Vincent Mpepo Wadahiliwa wapya wa shahada za uzamili na uzamivu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kituo cha Mkoa wa Dodoma wametakiwa kutumia muda vizuri ili kuhakikisha wanamaliza programu walizodahiliwa ndani muda uliopangwa. Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Kituo cha Mkoa cha Dodoma, Dkt. Mohamed Msoroka wakati wa ufunguzi na uwasilishaji wa mafunzo…
-
Na Issa Mwadangala Wazazi na walezi wa Kijiji cha Ikonya kilichopo Kata ya Bara Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuhakikisha malezi ya watoto yanazingatia maadili ya dini. Hayo yamesemwa na Naibu Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Songwe Mrakibu wa Polisi (SP) Ester Ngaja juzi wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi…
-
By Vincent Mpepo Newly admitted master’s and doctoral students at the Open University of Tanzania have been urged to manage their time wisely to ensure they complete their respective programs within the scheduled time frame. The advice was given by the Director of the Dodoma Regional Centre, Dr. Mohamed Msoroka, during the orientation and introductory…
-
Na Issa Mwadangala, Songwe Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga, ameongoza matembezi kwa vyombo vya usalama mkoani humo Julai 25, 2025. Akizungumza mara baada ya mazoezi hayo ya utimamu wa mwili, Kamanda Senga alisema kuwa lengo la mazoezi hayo ni kujenga umoja, ushirikiano na kuimarisha afya ya…
-
Na Rehema Kavishe Waandishi wa habari chipukizi wametakiwa kusoma kwa bidi ili kuwa na maarifa stahiki katika fani hiyo yatakayowawezesha kuendana na ushindani wa soko la ajira na ikibidi kuwa wajasiriamali katika maeneo mbalimbali ya tasnia hiyo. Hayo yamejiri wakati wa ziara ya Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Vincent Mpepo katika Chuo…