Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- DC Bura Afunga Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi kwa Washiriki 1,001 Geita
- Burudika na Nyimbo za Ekaristi Takatifu
- Sungusungu Watahadharishwa Kutojichukulia Sheria Mkononi
- Serikali Yaingia Makubaliano na DIT Kuimarisha Usimamizi wa Maafa
- Waziri Kombo Akutana na Jumuiya ya Diaspora ya Tanzania Nchini Korea
about
Category: Uncategorized
-
https://drive.google.com/file/d/13nLFSd1ZCvKoaNqyc1FRw3dwxTRtL-Ly/view
-
Na Athuman Kajembe, Nachingwea Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, Mohamed Hassan Moyo, ameonesha kukerwa baada ya kubaini ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nammanga, Kata ya Ruponda, unaendelea bila kufuata Hati ya Makadilio Kiasi cha Kazi (BOQ) kama ilivyoainishwa na serikali. Akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi huo, DC Moyo alisema…
-
Na OWM (KAM) – DODOMA Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepongezwa kwa hatua kubwa ilizochukua katika kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi, hususan utoaji wa fidia kwa wafanyakazi wanaokumbana na madhila ya ajali ama ugonjwa unaotokana na kazi. Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano…
-
Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maliasili na Utalii imesema ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za World Travele Award 2025 ikiwemo tuzo kubwa ya Utalii wa safari bora duniani ni uthibitisho kuwa nchi ina vivutio vya utalii vinavyokubalika kimataifa. Akizungumza Desemba 8, 2025 mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere…
-
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka viongozi wa makundi ya mitandao ya kijamii, hususan WhatsApp, kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi, uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Desemba 8, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, alipoungana na Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania (TPF-Net) mkoani humo kutoa…
-
Na Vincent Mpepo Walimu wanaosoma somo la Kifaransa kama mmoja ya somo la kufundishia wametakiwa kuwekeza nguvu nyingi na kujibidiisha kwani kuna fursa nyingi za ajira za ndani na nje ya nchi kupitia lugha hiyo. Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki katika mijadala mbalimbali ya Siku ya Walimu wa Kifansa Duniani iliyofanyika katika Ukumbi wa…
-
Mgeni Rasmi wa katika maadhimisho ya Siku ya Kifaransa Duniani, Afisa Elimu Kata ya Upanga Magharibi, Mwalimu Immaculata Ngure katika picha ya pamoja na meza kuu pamoja na walimu wa Kifaransa waliohudhuria katika maadhimisho hayo jana Katika Shule ya Sekondari Azania, jijini Dar es Salaam. (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Wadau wa lugha…
-
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Alex Makulilo akizungumza na hadhara ya wafanyakazi wa chuo hicho jana Kinondoni, jijini Dar es salaam. Na Vincent Mpepo Uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) umesisitiza dhamira yake ya kuboresha mazingira ya kazi ili kuongeza tija na kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja. Akizungumza…
-
Kulia ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Iramba SSP Brainer Robert akiteta Jambo na Muuguzi Mfawidhi Hospitali ya Wilaya ya Mkalama, Wilson Augustin (katikati) muda mfupi baada ya kupoke msaada uliotolewa na Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wanawake (TPF NET) Mkoa wa Singida katika Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambapo…