Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Serikali Yapongezwa Utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote
- TPF–NET Ruvuma Yawashika Mkono Watoto Wenye Uhitaji Songea
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
about
Category: Uncategorized
-
Na Cartace Ngajiro Umoja wa Wanawake Wanaofanya kazi Sekta ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika (WOMESA) wametembelea Bandari ya Tanga na kuridhishwa na utendaji kazi katika bandari hiyo baada ya kukamilika kwa mradi wa maboresho ya bandari. Akiongea wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Umoja huo Mhandisi Fortunata Makoye Kakwaya alisema maboresho hayo yameleta…
-
By Vincent Mpepo Language policies in many African countries are posing a serious threat to the survival and development of local and indigenous languages. Speaking during the opening of a two-day academic engagement at the Open University of Tanzania (OUT) headquarters in Kinondoni, Dar es Salaam, Dean of the Faculty of Arts and Social Sciences,…
-
Serikali imesema kupatikana kwa vifaa vya utafiti wa maji chini ya ardhi kuongeze tija katika masuala ya tafiti ili maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa maji yapate huduma hiyo muhimu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) kwa wataalamu wa Mabonde na wakati wa kukabidhi vifaa vya kisasa vya utafiti…