Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Polisi Washiriki Mazoezi Maalumu Kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sikoseli Duniani
- DC Bura Afunga Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi kwa Washiriki 1,001 Geita
- Burudika na Nyimbo za Ekaristi Takatifu
- Sungusungu Watahadharishwa Kutojichukulia Sheria Mkononi
- Serikali Yaingia Makubaliano na DIT Kuimarisha Usimamizi wa Maafa
about
Category: Uncategorized
-
Na Mwandishi Wetu Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) anayesimamia Uhimilivu wa Kifedha na Uendeshaji wa Sekta ya Fedha, Sauda Msemo amesema sekta ya fedha nchini inapaswa kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia duniani ili kulinda usalama wa kiuchumi na kuchochea maendeleo. Msemo alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es…
-
Na Issa Mwandagala, Songwe Askari wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Songwe wametakiwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii kwa kuzingatia maadili ya kazi wakati wakitekeleza majukumu yao ya kusimamia sheria za usalama barabarani ili kuendelea kujenga taswira nzuri kwa Jeshi la Polisi. Hayo yameelezwa Leo na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe,…
-
Na Mwandishi Wetu Wito umetolewa kwa taifa na jumuiya za kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti ongezeko la taka za plastiki ambazo ni miongoni mwa changamoto kubwa za kimazingira zinazoikumba dunia kwa sasa. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yaliyoambatana na usafi wa mazingira na yaliyoandaliwa na Shirika…
-
Na Gabriel Msumeno, Pwani Timu ya madaktari bingwa chini ya mpango maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan imewasili mkoani Pwani kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Mratibu wa timu hiyo kutoka Wizara ya Afya, Joachim Masunga amesema ujio wa madaktari hao…
-
Na Issa Mwandagala Wazazi na walezi Mkoani Songwe wametakiwa kutoruhusu watoto wenye jinsi tofauti kulala katika chumba kimoja kwani ndio chanzo cha mmonyoko wa maadili kwani wengi huanza kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama…
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Kwaya Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)-Kimara wakati ikiimba kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre iliyofanyika Leo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.Kituo hicho…
-
Na Vincent Mpepo, Dodoma Washarika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamekumbushwa kuendelea kumtolea Mungu kwa hiari kwani matendo ya utoaji yana baraka na Mungu hupendezwa na wenye moyo wa shukrani. Akihubiri wakati wa ibada ya kwanza jijini Dodoma katika Usharika wa Kanisa Kuu, Mchungaji Kiongozi wa KKKT Usharika wa Kisamo, Jimbo la…