Category: Uncategorized

  • Picha kwa msaada wa Akili Mnemba

  • Kwaya ya akiba baba wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mtaa wa Kwembe wakiimba wakati wa ibada ya Sikukuu ya Pasaka, (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Wakristo nchini wametakiwa kuendelea kutimiza wajibu wao katika nafasi mbalimbali ambazo Mungu amewajalia ili kumtumikia yeye na kuishi vyema katika jamii. Wito huo umetolewa na…

  • Na Farida Mkumba, Dodoma  Chuo cha Serikali za Mitaa (Hombolo) kinatarajia kudahili wanafunzi 9,300 katika ngazi za stashahada, stashahada na ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza hayo jana Aprili 16 Bungeni Jijini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba…

  • Na Farida Mkumba, Dodoma   Ofisi ya Rais – TAMISEMI imeomba Shilingi trilioni 11.78 kwa matumizi ya mwaka wa fedha 2025/2026. Katika hutuba aliyoisoma Leo jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa alibainisha kuwa Trilioni 3.95 zitakwenda kwenye miradi ya maendeleo, na Trilioni 7.84 ni kwa ajili ya matumizi ya…

  • Na Tabia Mchakama Wanawake TIRA wamejumuika na Wanawake wengine kutoka sekta ya Fedha Tanzania  kushiriki Mkutano Mkuu wa Mwaka ulioandaliwa na jumuiya yao (TAWiFA) ambapo DKt. Doto Biteko alikua Mgeni Rasmi. Akisoma hotuba yake Mhe. Biteko alisisitiza juu ya elimu ya fedha kwa wanawake wa vijijini ili waepukane na mikopo umiza inayosababisha kuchukuliwa baadhi ya…

  • Wanafunzi wakiuliza na kujibu maswali mbalimbali katika mafunzo yaliyotolewa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kupitia Ofisi ya Kanda ya Mashariki. Na Okello Thomas Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imetembelea wanafunzi na walimu wa shule mbalimbali za sekondari wilayani Mafia na kutoa elimu kuhusu vinasaba katika jinai ikiwemo…

  • Sehemu ya wadahiliwa wapya wa fani mbalimbal na katika ngazi mbalimbali waliohudhuria mafaunzo elekezi siku ya Jumamosi katika Kituo cha Mkoa cha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dodoma. (Picha kwa niaba ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Kituo cha Mkoa wa Dodoma).

  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo juu ya Chuo cha Serikali za Mitaa alipotembelea banda la chuo hicho wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi inayojihusisha na maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) yanayoendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji Dodoma uliopo Mji wa Kiserikali Mtumba yaliyoanza…

  • Na Vincent Mpepo Watu wenye mahitaji maalumu ni kundi la watu ambao hawawezi kujipatia mahitaji yao ya msingi wao wenyewe kutokana na changamoto kadha wa kadha. Changamoto hizo husababishwa na vitu mbalimbali kama vile ulemavu wa kimwili, kihisia, kitabia, au kujifunza au kuharibika ambazo husababisha mtu kuhitaji huduma za ziada au maalum au malazi kama…

  • Na Vincent Mpepo, Dodoma Washarika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wametakiwa kuendelea kumtolea Mungu sadaka bila kukata tamaa huku wakiziombea ili zifanye kazi yake na pia wapate baraka kupitia sadaka hizo. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi wa Madarasa ya Watoto na Ofisi za Usharika  wa Betheli Dayosisi ya Dodoma, Makao…