Category: Uncategorized

  • Sehemu ya wadahiliwa wapya waliohudhuria mafunzo elekezi katika Kituo cha Chuo Kikuu Huria cha Mkoa wa Arusha Leo, (Picha na Amos Majaliwa). Na Vincent Mpepo, Dodoma Wanafunzi wapya wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania waliodahiliwa katika shahada ya awali ya Mawasiliano ya Umma wameelezea matarajio yao katika muda watakaokuwa masomoni na kuainisha sababu za kukichagua…

  • Na Tabia Mchakama Ujumbe wa watu 12 kutoka Eswatini ukiongozwa na Naibu Spika wa Bunge la Nchi hiyo Madala Mhlanga umezuru ofisi ndogo za Makao Makuu ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) Dar es salaam kwa lengo la kupata uzoefu wa masuala mbambali ya kibima ikiwemo usimamizi wa soko na maswala ya kisheria.…

  • Na Anamaria John Utendaji mzuri wa kazi hupimwa kwa matokeo yanayopatikana, na ili matokeo yaonekane lazima kuwepo na waangalizi, wasimamizi na wafuatiliaji wa utekelezaji kutokana na kile walichokiona kwa macho na sio kusikia na kuangalia katika makaratsi. Moja ya vipimo hivyo vinaweza kuonekana kupitia thamani ya fedha iliyo tumika kwa kulinganisha na uhalisia wa kazi…

  • Na Gabriel Msumeno, Pwani Watanzania wametakiwa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ili kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuwachagua viongozi watakaowaongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo. Wito huo umetolewa na Mkimbiza Mwenge Kitaifa, Ismail Ali Ussi akiwa katika Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani ambako anaendelea kukimbiza Mwenge wa Uhuru. “Kila…

  • Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ismail Ali Ussi akipanda mti kama ishara ya kutunza mazingira na uboreshaji wa nishati ya jua katika Hospital ya Mchukwi. Na Gabriel Msumeno, Pwani Mwenge wa uhuru umezindua miradi sita ya maendeleo katika sekta za elimu na afya Wilayani Kibiti Mkoani Pwani yenye thamani ya shilingi milioni…

  • Sehemu ya wanakwaya wa USCF Mlimani CCT wakihudumu katika ibada ya kwanza katika anisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Mbezi Luis siku ya Jumapili, (Picha Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam wameushukuru uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Luis kwa…

  • Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Edwin Mhede akihutubia wakati wa uzindizi wa programu tumizi ijulikanayo kama PFZ uliofanyika leo jijini Dar es salaam katika viwanja vya Soko Kuu la Kimataifa la Feri, (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imezindua programu tumizi ijulikanayo…

  • Na Gabriel Alex Msumeno, Kibaha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Phillip Mpango ameongoza wananchi na wakazi wa Mkoa wa Pwani katika sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa zilizofanyika Leo katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha. Akizungumza wakati wa sherehe hizo Dkt.Mpango amewataka watanzania kutumia vizuri haki…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Jamii imetakiwa kuwakumbuka wahitaji na wenye mahitaji maalumu katika huduma mbalimbali ikiwemo mavazi, chakula na mahitaji mengine ya msingi ili waendelee kuishi vyema kimwili na kiroho kama sehemu ya wanajamii. Wito huo umetolewa Jumapili na Mwalimu Israel Mmari katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Mtaa wa Kwembe wakati akihamasisha uchangiaji…