Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
Category: Uncategorized
-
Na Alvar Mwakyusa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza mwelekeo wa mvua za msimu wa Masika kwa mwaka 2026, ikieleza kuwa baadhi ya maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka yanatarajiwa kupata mvua za wastani hadi juu ya wastani, huku maeneo mengine yakitarajiwa kupata mvua za wastani hadi chini ya wastani. Kwa…
-
Na Vincent Mpepo, Dodoma Watumishi wa Idara ya Masomo ya Habari na Ukutubi chini ya Kitivo cha Sanaa na Sayansi za Jamii, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, wametakiwa kufanyia kazi changamoto mbalimbali za wanafunzi na masuala mengine kwa wakati. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Idara, Dkt. Henry Mambo, wakati akifunga kikao kazi cha idara hiyo…
-
Na Farida Mkumba Wanafunzi wa Chuo cha Serikali za Mitaa Kampasi ya Shinyanga wametembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kuwaona wagonjwa, kufanya usafi eneo lote linalozunguka Hospitali hiyo, kujitolea damu na kutoa misaada mbalimbali za Kijamii. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi wangonjwa na wananchi mbalimbali wameeleza namna wanavyoridhishwa na uwepo wa Chuo cha…
-
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew, amemuagiza Mkandarasi Kampuni ya Afcons ya India kuzingatia maelekezo ya serikali kuhusu viwango vipya vya mishahara kwa wafanyakazi wa ngazi za chini, vinavyotaka kulipwa shilingi 16,500 kwa siku sawa na shilingi 515,000 kwa mwezi. Agizo hilo amelitoa leo wakati wa ukaguzi wa Mradi wa Maji…
-
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekutana na kuzungumza na wananchi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kutatua changamoto ya upatikanaji huduma ya maji katika mtaa huo. Akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mkuu wa Kitengo cha…
-
Mwezeshaji kutoka Umoja wa Maabara Tanzania, Kezia Mbwambo akifafanua jambo kuhusu mifumo ya ubora kwa wataalam wa maabara kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwenye mafunzo yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam. Na Okello Thomas Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imetoa…
-
Na Mwandishi Wetu, Nachingwea Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamedi Hassani Moyo amewataka madiwani wa Halmashauri za Ruangwa na Mtama kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia wananchi na kufuata kanununi na taratibu za uongozi. Moyo alisema hayo wakati akifungua mafunzo elekezi yenye lengo la kuwajengea uwezo katika Nyanja za uongozi, usimamizi na uwajibikaji katika kuwatumikia wananchi…
-
Na Farida Mkumba Wataalamu mbalimbali wa Bajeti kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa wamekutana Jijini Dodoma na kufanya mapitio ya mpango mkakati wa Chuo hicho kuanzia 2026 hadi 2031. Mafunzo hayo ya siku tano kuanzia Tarehe 06 hadi 09 Januari, 2026 yametolewa na Kurugenzi ya Mipango ya Mipango ya Chuo hicho ili kuwapa uelewa mpana…