Category: Uncategorized

  • Na Farida Mkumba, Dodoma Hospitali ya Afya ya Akili ya Taifa Mirembe imeombwa kuimarisha ushirikiano na taasisi binafsi ili kuwezesha tathmini ya watoto wenye usonji kufanyika kila robo mwaka, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za matibabu na ufuatiliaji wa karibu. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza, Dkt. Omary Ubuguyu, kwa niaba…

  • Na Cosmas Msuha Katika juhudi za kupunguza ajali za barabarani zinazohusiana na kazi, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) jijini Dar es Salaam. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha usalama barabarani na kupunguza athari zake kwa wafanyakazi pamoja na uchumi wa taifa. Akizungumza katika hafla hiyo,…

  • Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Michael Ngonyani (38), mkazi wa Mtyangimbole, kwa tuhuma za kujihusisha na uhalifu mbalimbali ikiwemo wizi wa magari katika Mkoa wa Mbeya. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Marco…

  • Na Mwandishi Wetu, Nachingwea – Lindi Chama Kikuu cha Ushirika (RUNALI), kinachojumuisha wilaya za Nachingwea, Ruangwa na Liwale, kimetoa mafunzo kwa viongozi wa vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) kutoka katika wilaya hizo, yakilenga kuongeza ufanisi na kuimarisha mipango ya vyama hivyo. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo jana kwa naiba ya Mkuu wa Mkoa, wilayani…

  • Na Yusra Temba Wahudumu wa afya 58 wamehitimu mafunzo ya muda mfupi ya kipimo cha moyo kwa kutumia teknolojia ya Echo (Echocardiography), katika mahafali yaliyofanyika Ijumaa, tarehe 27 Machi, jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Taasisi…

  • Na Cosmas Msuha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amewataka wanahabari wanawake nchini kushirikiana kwa karibu na jamii ili kusaidia kuinua sauti ya mwanamke kupitia vyombo vya habari. Akizungumza katika Kongamano la “Malkia wa Habari” lililofanyika Machi 28, 2026 katika Ukumbi wa Hoteli ya Rungwe, Sinza jijini Dar es Salaam, Kairuki alisisitiza…

  • Na Mwandishi Wetu Tanzania inaelekea kufungua ukurasa mpya katika sekta ya madini kufuatia mipango ya kuendeleza uchimbaji wa madini ya niobium katika eneo la Panda Hill, mkoani Mbeya. Madini haya adimu yana umuhimu mkubwa duniani kutokana na matumizi yake katika kuimarisha chuma, sekta ya anga, pamoja na teknolojia za kisasa. Akizungumzia maendeleo hayo, Waziri wa…

  • Na Cosmas Msuha Tanzania imepiga hatua muhimu katika sekta ya madini baada ya kusaini makubaliano ya kimkakati na Marekani kwa ajili ya kuendeleza mradi wa madini ya Niobium wa Panda Hill. Hatua hii inalenga kuifanya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji na usindikaji wa madini hayo adimu duniani. Akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini jijini…

  • Na Vincent Mpepo, (Kwa msaada wa mtandao). Makundi ya WhatsApp na Telegramu katika taasisi za kidini, kama makanisa na jumuiya za waumini, yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kiroho na kijamii katika ulimwengu wa leo wa teknolojia. Kupitia makundi haya, waumini hupata nafasi ya kuwasiliana kwa haraka, kushirikishana taarifa muhimu na kuimarisha mshikamano wa kiimani…