Category: Uncategorized

  • Sehemu ya wanakwaya wa USCF Mlimani CCT wakihudumu katika ibada ya kwanza katika anisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Mbezi Luis siku ya Jumapili, (Picha Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam wameushukuru uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Luis kwa…

  • Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Edwin Mhede akihutubia wakati wa uzindizi wa programu tumizi ijulikanayo kama PFZ uliofanyika leo jijini Dar es salaam katika viwanja vya Soko Kuu la Kimataifa la Feri, (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imezindua programu tumizi ijulikanayo…

  • Na Gabriel Alex Msumeno, Kibaha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Phillip Mpango ameongoza wananchi na wakazi wa Mkoa wa Pwani katika sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa zilizofanyika Leo katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha. Akizungumza wakati wa sherehe hizo Dkt.Mpango amewataka watanzania kutumia vizuri haki…

  • Na Vincent Mpepo, Kwembe Jamii imetakiwa kuwakumbuka wahitaji na wenye mahitaji maalumu katika huduma mbalimbali ikiwemo mavazi, chakula na mahitaji mengine ya msingi ili waendelee kuishi vyema kimwili na kiroho kama sehemu ya wanajamii. Wito huo umetolewa Jumapili na Mwalimu Israel Mmari katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Mtaa wa Kwembe wakati akihamasisha uchangiaji…

  • Sehemu ya wanafunzi na walimu kutoka Norway wakifurahia zawadi kutoka Idara ya Sosholojia na Ustawi wa Jamii zilizotolewa leo katika hafla fupi ya kuwaaga katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania leo jijini Dar es salaam, (Picha na Vincent Mpepo,OUT). Na Vincent Mpepo, OUT Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kimeelezea kuridhishwa kwake na huduma…

  • Na Tabia Mchakama Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeshiriki na kudhamini tuzo katika Mkutano wa Wadau wa elimu ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Rosemary Sinyamule uliofanyika mwanzoni mwa wiki hii jijini Dodoma. Katika Mkutano huo, Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware aliitaka jamii kukata bima kutokana na manufaa yake katika…

  • Hawa Mikidadi, Morogoro Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Nuru Ngereja amewaomba waandishi wa habari kuendeleza ushirikiano na chama chake ili kuwatumikia wananchi katika utekelezaji wa ilani ya chama. Kauli hiyo aliitoa Tarehe 24.03.2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha na kuwatambua waandishi wa habari…

  • Mwalimu Israel Mmari wa KKKT Usharika wa Mji Mpya akihubiri jana katika Ibada katika Mtaa wa Kwembe (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo, Kwembe Wakristo wametakiwa kuombea akili kwa kuwa ndiyo inayowezesha watu kufanya maamuzi katika masuala mbambali  iwe katika ngazi ya mtu binafsi, ngazi za familia, jamii na taifa kujiepusha na majanga au…

  • Na Cartace Ngajiro, Tanga Menejimenti ya Bandari ya Tanga imewahakikishia wadau wa bandari hiyo kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kibandari ikiwa ni pamoja na utoaji huduma bora kwa wateja ili kuongeza tija na ufanisi. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Millanzi hivi karibuni wakati akifunga kikao cha…