Category: Uncategorized

  • Sehemu ya wanafunzi na walimu kutoka Norway wakifurahia zawadi kutoka Idara ya Sosholojia na Ustawi wa Jamii zilizotolewa leo katika hafla fupi ya kuwaaga katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania leo jijini Dar es salaam, (Picha na Vincent Mpepo,OUT). Na Vincent Mpepo, OUT Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kimeelezea kuridhishwa kwake na huduma…

  • Na Tabia Mchakama Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeshiriki na kudhamini tuzo katika Mkutano wa Wadau wa elimu ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Rosemary Sinyamule uliofanyika mwanzoni mwa wiki hii jijini Dodoma. Katika Mkutano huo, Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware aliitaka jamii kukata bima kutokana na manufaa yake katika…

  • Hawa Mikidadi, Morogoro Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Nuru Ngereja amewaomba waandishi wa habari kuendeleza ushirikiano na chama chake ili kuwatumikia wananchi katika utekelezaji wa ilani ya chama. Kauli hiyo aliitoa Tarehe 24.03.2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha na kuwatambua waandishi wa habari…

  • Mwalimu Israel Mmari wa KKKT Usharika wa Mji Mpya akihubiri jana katika Ibada katika Mtaa wa Kwembe (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo, Kwembe Wakristo wametakiwa kuombea akili kwa kuwa ndiyo inayowezesha watu kufanya maamuzi katika masuala mbambali  iwe katika ngazi ya mtu binafsi, ngazi za familia, jamii na taifa kujiepusha na majanga au…

  • Na Cartace Ngajiro, Tanga Menejimenti ya Bandari ya Tanga imewahakikishia wadau wa bandari hiyo kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kibandari ikiwa ni pamoja na utoaji huduma bora kwa wateja ili kuongeza tija na ufanisi. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Millanzi hivi karibuni wakati akifunga kikao cha…

  • Na Vincent Mpepo, Dar es salaam Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Elifas Bisanda amewapongeza wakuu wa idara chuoni hapo kwa kufanya kazi kwa bidiii hivyo kuendelea kukifanya chuo hicho kutoa huduma nzuri. Pongezi hizo alizitoa jana jijini Dar es salaam wakati wa Mhadhara wa Kitaaluma na kusaini makubaliano na kati ya…

  • Kijana Junior Allen Mwangoka miaka (22) amepotea. Mara ya ya mwisho alivaa jeans ya sky blue na t-shirt ya dark blue yenye nembo ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na mpaka sasa  ana zaidi ya wiki mbili. Ukimwona toa taarifa kituo cha polisi jirani nawe, au wasiliana kwa +255 652 064 311.

  • Na Vincent Mpepo, OUT Wahadhiri, wakufunzi na wanafunzi katika taasisi za elimu ya juu wameishauri serikali kuhusu utekelezaji wa sera, kanuni na haki za watu wenye mahitaji maalumu ikiwemo watoto wenye ulemavu ili kufanya maisha yao yawe mazuri. Ushauri huu umetolewa na wataalamu hao wakati wa tathimini ya mradi wa NOREC unaohusisha wahadhiri, wakufunzi na…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Jamii imetakiwa kuwatambua na kuwathamini watoto wenye mahitaji maalumu ili kuwajengea uwezo na kujiamini kitu kitakachosaidia ustawi wao kimalezi, kimakuzi na kitaaluma. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Mariana Makuu wakati wa tathimini ya mradi wa NOREC unaohusisha wahadhiri,…

  • Washiriki wa tathimini ya mafunzo kwa vitendo unaohusisha wahadhiri, wakufunzi na wanafunzi wa Tanzania na Norway uliofanyika jana katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Picha na Vincent Mpepo, OUT). Na Vincent Mpepo, OUT Utekelezaji wa mradi wa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Chuo cha Ualimu Elimu Maalumu Patandi na vyuo…