Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Bandari ya Tanga Yavutia Viongozi wa Temeke kwa Fursa za Uwekezaji
- Polisi Washiriki Mazoezi Maalumu Kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sikoseli Duniani
- DC Bura Afunga Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi kwa Washiriki 1,001 Geita
- Burudika na Nyimbo za Ekaristi Takatifu
- Sungusungu Watahadharishwa Kutojichukulia Sheria Mkononi
about
Category: Uncategorized
-
By Vincent Mpepo African countries have been called upon to work together instead of acting alone in the fight against poverty and exploitation. This cooperation would help fulfill the dreams of Africa’s founding leaders, such as Mwalimu Julius Nyerere and Nelson Mandela. The call was made during an academic forum held yesterday at Johari Rotana…
-
By Vincent Mpepo Academics and researchers in African higher learning institutions have been urged to conduct studies that provide practical solutions for the sustainable use of marine resources in order to effectively implement the Blue Economy concept and drive Africa’s economic and social development. A group photo of academics from the Faculty of Arts and…
-
Na Annamaria John Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji na Serikali ya Ujerumani kupitia Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) zimesaini mkataba ili kutekeleza Mradi wa Uhifadhi wa Maeneo Oevu na Baioanuwai ya Kidakio cha Katuma, Mpanda. Mradi wa IKI Katuma utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu kwa gharama ya kiasi cha Euro 4,000,000.00…
-
Na Gloria Maganza, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema katika Kipindi cha miaka minne ya serikali imefanikiwa kupunguza mrundikano wa wafungwa na mahabusu kwenye magereza hapa nchini ambapo amesema magereza hapa nchini zina uwezo wa kuchukua wafungwa na mahabusu 28,000 nchi nzima. Waziri Dkt. Ndumbaro ametoa taarifa hiyo leo alipokuwa akizungumza…
-
Na Vincent Mpepo Wanataaluma na watafiti katika taasisi za elimu ya juu barani Afrika wametakiwa kufanya tafiti zitakazotoa majawabu ya matumizi endelevu ya rasilimali za bahari barani humo ili kutekeleza dhana ya uchumi wa bluu kwa vitendo na tija katika kuchochea uchumi na maendeleo ya Afrika. Wito huo umetolewa na washiriki katika mjadala wa kitaaluma…
-
Na Gloria Maganza, Dodoma Madereva wa magari ya serikali mkaoni Dodoma wametakiwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa ajili ya usalama barabarani wanapokuwa wakiendesha magari hayo. Rai hiyo imetolewa leo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), George Katabazi wakati akizungumza na madereva hao kwenye kikao maalumu alichokiitisha…
-
Na Cartace Ngajiro Umoja wa Wanawake Wanaofanya kazi Sekta ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika (WOMESA) wametembelea Bandari ya Tanga na kuridhishwa na utendaji kazi katika bandari hiyo baada ya kukamilika kwa mradi wa maboresho ya bandari. Akiongea wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Umoja huo Mhandisi Fortunata Makoye Kakwaya alisema maboresho hayo yameleta…