Category: Uncategorized

  • Na Cartace Ngajiro, Tanga Menejimenti ya Bandari ya Tanga imewahakikishia wadau wa bandari hiyo kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kibandari ikiwa ni pamoja na utoaji huduma bora kwa wateja ili kuongeza tija na ufanisi. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Millanzi hivi karibuni wakati akifunga kikao cha…

  • Na Vincent Mpepo, Dar es salaam Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Elifas Bisanda amewapongeza wakuu wa idara chuoni hapo kwa kufanya kazi kwa bidiii hivyo kuendelea kukifanya chuo hicho kutoa huduma nzuri. Pongezi hizo alizitoa jana jijini Dar es salaam wakati wa Mhadhara wa Kitaaluma na kusaini makubaliano na kati ya…

  • Kijana Junior Allen Mwangoka miaka (22) amepotea. Mara ya ya mwisho alivaa jeans ya sky blue na t-shirt ya dark blue yenye nembo ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na mpaka sasa  ana zaidi ya wiki mbili. Ukimwona toa taarifa kituo cha polisi jirani nawe, au wasiliana kwa +255 652 064 311.

  • Na Vincent Mpepo, OUT Wahadhiri, wakufunzi na wanafunzi katika taasisi za elimu ya juu wameishauri serikali kuhusu utekelezaji wa sera, kanuni na haki za watu wenye mahitaji maalumu ikiwemo watoto wenye ulemavu ili kufanya maisha yao yawe mazuri. Ushauri huu umetolewa na wataalamu hao wakati wa tathimini ya mradi wa NOREC unaohusisha wahadhiri, wakufunzi na…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Jamii imetakiwa kuwatambua na kuwathamini watoto wenye mahitaji maalumu ili kuwajengea uwezo na kujiamini kitu kitakachosaidia ustawi wao kimalezi, kimakuzi na kitaaluma. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Mariana Makuu wakati wa tathimini ya mradi wa NOREC unaohusisha wahadhiri,…

  • Washiriki wa tathimini ya mafunzo kwa vitendo unaohusisha wahadhiri, wakufunzi na wanafunzi wa Tanzania na Norway uliofanyika jana katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Picha na Vincent Mpepo, OUT). Na Vincent Mpepo, OUT Utekelezaji wa mradi wa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Chuo cha Ualimu Elimu Maalumu Patandi na vyuo…

  • Participants of NOREC Project involving lecturers, trainers, and students from Tanzania and Norway held today at the Open University of Tanzania. During the discussion, successes and challenges were outlined in order to achieve the goals of the project. (Photo by Vincent Mpepo, OUT) By Vincent Mpepo, OUT The implementation of a partnership project between the…

  • Na Vincent Mpepo, KwembeSerikali ya Mtaa wa Kwembe imeishukuru serikali kwa namna inavyojali wananchi kupitia uboreshaji wa miundombinu na huduma za afya.Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano wa wa Kwanza na wa wananchi wa Mtaa huo uliofanyika hivi karibuni katika ofisi za mtaa huo ambapo masuala mbalimbali…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa utekelezaji wa malipo ya mafao sanjali na kikokotoo kwa wastaafu ni matokeo ya tafiti mbalimbali ambazo zilionesha ya ulipaji kidogokidogo badala ya kulipa kwa mkupuo unaweza kusaidia zaidi wastaafu tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu Taifa, Elia…

  • Mwinjilisti Kiongozi wa Mtaa wa Kwembe, Emeline Mzava na Mtendakazi Anna Mauki pamoja na wanakwaya wa kwaya hiyo wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa Albamu ya kwanza ya Kwaya Kuu ya Mtaa huo Siku ya Jumapili, (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo, Kwembe Viongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mtaa wa…