Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Serikali Yapongezwa Utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote
- TPF–NET Ruvuma Yawashika Mkono Watoto Wenye Uhitaji Songea
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
about
Category: Uncategorized
-
Na Cartace Ngajiro, Tanga Menejimenti ya Bandari ya Tanga imewahakikishia wadau wa bandari hiyo kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kibandari ikiwa ni pamoja na utoaji huduma bora kwa wateja ili kuongeza tija na ufanisi. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Millanzi hivi karibuni wakati akifunga kikao cha…
-
Kijana Junior Allen Mwangoka miaka (22) amepotea. Mara ya ya mwisho alivaa jeans ya sky blue na t-shirt ya dark blue yenye nembo ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na mpaka sasa ana zaidi ya wiki mbili. Ukimwona toa taarifa kituo cha polisi jirani nawe, au wasiliana kwa +255 652 064 311.
-
Participants of NOREC Project involving lecturers, trainers, and students from Tanzania and Norway held today at the Open University of Tanzania. During the discussion, successes and challenges were outlined in order to achieve the goals of the project. (Photo by Vincent Mpepo, OUT) By Vincent Mpepo, OUT The implementation of a partnership project between the…
-
Na Vincent Mpepo, KwembeSerikali ya Mtaa wa Kwembe imeishukuru serikali kwa namna inavyojali wananchi kupitia uboreshaji wa miundombinu na huduma za afya.Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano wa wa Kwanza na wa wananchi wa Mtaa huo uliofanyika hivi karibuni katika ofisi za mtaa huo ambapo masuala mbalimbali…
-
Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa utekelezaji wa malipo ya mafao sanjali na kikokotoo kwa wastaafu ni matokeo ya tafiti mbalimbali ambazo zilionesha ya ulipaji kidogokidogo badala ya kulipa kwa mkupuo unaweza kusaidia zaidi wastaafu tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu Taifa, Elia…