Category: Uncategorized

  • Sehemu ya picha katika matukio ya hivi karibuni  wakati wa kukabidhi misaada ya vifaa katika Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko jijini Dar es Salaam tukio lililohudhuriwa na wahadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambao ni wenyeji, wahadhiri na wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya Norway, walimu na wanafunzi wa shule hiyo. Vifaa hivyo vitapunguza tatizo…

  • By Vincent Mpepo, OUT Head of the Department of Social Work and Sociology at the Open University of Tanzania, Dr. Mariana Makuu, has advised the government to employ social work experts in inclusive primary schools to ensure the mental and psychological well-being of children while at school. The call was made during the donation handover…

  • Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Mariana Makuu akisisitiza jambo wakati wa kikao cha tathmini  ya kutekeleza program za kuwasaidia watu wenye ulemavu kikiwahusisha wadau mbalimbali wakiwemo, wahadhiri, walimu, maofisa maendeleo ya jamii na wafadhili kutoka nchini Norway iliyofanyika jijini Dar es salaam hivi karibuni katika ukumbi wa…

  • Na Grace Mwakalinga, Dar es salaam Serikali imetakiwa kuajiri maofisa ustawi wa jamii kwenye  shule  za  msingi jumuishi  ili kuwahudumia kikamilifu watoto wenye mahitaji maalum ambao wakati mwingine hukosa  mtu wa karibu kujua mahitaji yao wawapo shuleni. Mapendekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Mariana…

  • Na Slyvester Richard, Singida Mahakama ya Wilaya Singida imemuhukumu Baraka Joel ambaye pia anajulikana kwa jina la Yohana (23), mkulima na mkazi wa Mughamo Manispaa ya Singida kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kubaka. Mshitakiwa Baraka alitenda kosa hilo Februari 17, 2023 huko Mtaa na Kata ya Mughamo, Tarafa ya Ilongero, Wilaya na Mkoa…

  • Na Vincent Mpepo, OUT Jamii imetakiwa kuasili watoto wanaoishi na kutunzwa kwenye vituo mbalimbali ili wawe sehemu ya familia hivyo kupata malezi na uangalizi unaostahili kama wanajamii wengine. Wito huo umtolewa na Afisa Ustawi wa Jamii, Malezi na Familia wa Jiji la Arusha, Nivoneia Kikaho wakati wa uzinduzi wa chama cha waandishi wa habari wanawake…

  • Na Ruth Kyelula, Mbulu DC Viongozi wa serikali za mitaa ikiwemo watendaji na wenyeviti wa vijiji, kata na mitaa wametakiwa kutoa ushirikiano kwa shirika la UCRT linalotekeleza mradi wa mpango wa matumizi bora ya ardhi vijinini. Hayo yalisemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu, Paulo Bura kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mbulu…

  • Na Mwandishi Wetu Sehemu ya washiriki wa hafla ya uzinduzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoani Arusha ‘Arusha Women in Media’ katika picha za pamoja katika ukumbi na viwanja vya Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyofanyika hivi karibuni. Waandishi wa habari wanawake mkoa wa Arusha wametakiwa kuchangamkia fursa kwa kujiunga na chama cha waandishi…

  • Waandishi wa Habari wanawake wameshauriwa kuungana na kutumia fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali ili waweze kujikwamua kiuchumi jambo ambalo litawasaidia kuwa na kipato mbadala na kuondokana na utegemezi wa kazi moja. Mwenyekiti wa umoja wa waandishi wa Habari mkoa wa Arusha Jamillah Omar ametoa wito huo wakati wa uzinduzi wa chama hicho cha ARUSHA WOMEN…

  • By Vincent Mpepo, OUT The Eastern Africa Regional Early Childhood Conference will start on 11th to 14th Mach, 2024 at Julius Nyerere International Convention Centre in Dar es Salaam and will involve participants from Tanzania and outside Tanzania. According to the information from the organizers’ website, this years’ conference theme is ‘Investing in Early Childhood:…