Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- UNDP Yawezesha Mafunzo kwa Wachimbaji Kupitia Tume ya Madini
- Tanzania Yaunga Mkono Kuimarisha Ushirikiano wa Kibunge kupitia NAM-PN
- Nidhamu Yatajwa Kuwa Msingi wa Mafanikio kwa Wanafunzi Songea
- Gongo Lita 4.5 Yampeleka Jela, Afungwa Miaka 3
- Fursa za Kiuchumi, Uzalendo: Njia Muhimu kwa Maendeleo ya Vijana Tanzania
about
Category: Uncategorized
-
Kijana Junior Allen Mwangoka miaka (22) amepotea. Mara ya ya mwisho alivaa jeans ya sky blue na t-shirt ya dark blue yenye nembo ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na mpaka sasa ana zaidi ya wiki mbili. Ukimwona toa taarifa kituo cha polisi jirani nawe, au wasiliana kwa +255 652 064 311.
-
Participants of NOREC Project involving lecturers, trainers, and students from Tanzania and Norway held today at the Open University of Tanzania. During the discussion, successes and challenges were outlined in order to achieve the goals of the project. (Photo by Vincent Mpepo, OUT) By Vincent Mpepo, OUT The implementation of a partnership project between the…
-
Na Vincent Mpepo, KwembeSerikali ya Mtaa wa Kwembe imeishukuru serikali kwa namna inavyojali wananchi kupitia uboreshaji wa miundombinu na huduma za afya.Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kwembe Rajabu Koba wakati wa mkutano wa wa Kwanza na wa wananchi wa Mtaa huo uliofanyika hivi karibuni katika ofisi za mtaa huo ambapo masuala mbalimbali…
-
Na Vincent Mpepo, OUT Imeelezwa kuwa utekelezaji wa malipo ya mafao sanjali na kikokotoo kwa wastaafu ni matokeo ya tafiti mbalimbali ambazo zilionesha ya ulipaji kidogokidogo badala ya kulipa kwa mkupuo unaweza kusaidia zaidi wastaafu tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu Taifa, Elia…