Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
Category: Uncategorized
-
Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maliasili na Utalii imesema ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za World Travele Award 2025 ikiwemo tuzo kubwa ya Utalii wa safari bora duniani ni uthibitisho kuwa nchi ina vivutio vya utalii vinavyokubalika kimataifa. Akizungumza Desemba 8, 2025 mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere…
-
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka viongozi wa makundi ya mitandao ya kijamii, hususan WhatsApp, kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi, uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Desemba 8, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, alipoungana na Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania (TPF-Net) mkoani humo kutoa…
-
Na Vincent Mpepo Walimu wanaosoma somo la Kifaransa kama mmoja ya somo la kufundishia wametakiwa kuwekeza nguvu nyingi na kujibidiisha kwani kuna fursa nyingi za ajira za ndani na nje ya nchi kupitia lugha hiyo. Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki katika mijadala mbalimbali ya Siku ya Walimu wa Kifansa Duniani iliyofanyika katika Ukumbi wa…
-
Mgeni Rasmi wa katika maadhimisho ya Siku ya Kifaransa Duniani, Afisa Elimu Kata ya Upanga Magharibi, Mwalimu Immaculata Ngure katika picha ya pamoja na meza kuu pamoja na walimu wa Kifaransa waliohudhuria katika maadhimisho hayo jana Katika Shule ya Sekondari Azania, jijini Dar es Salaam. (Picha na Vincent Mpepo). Na Vincent Mpepo Wadau wa lugha…
-
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Alex Makulilo akizungumza na hadhara ya wafanyakazi wa chuo hicho jana Kinondoni, jijini Dar es salaam. Na Vincent Mpepo Uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) umesisitiza dhamira yake ya kuboresha mazingira ya kazi ili kuongeza tija na kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja. Akizungumza…
-
Kulia ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Iramba SSP Brainer Robert akiteta Jambo na Muuguzi Mfawidhi Hospitali ya Wilaya ya Mkalama, Wilson Augustin (katikati) muda mfupi baada ya kupoke msaada uliotolewa na Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wanawake (TPF NET) Mkoa wa Singida katika Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambapo…
-
Na Alvar Mwakyusa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa mvua zitaendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi, hasa katika kanda ya Ziwa Victoria, magharibi mwa nchi, na nyanda za juu kusini-magharibi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa, mvua zinazoambatana na ngurumo za radi zinatarajiwa katika maeneo machache…
-
Na Cartace Ngajiro, Tanga Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran. Akiongea mara baada ya kupokea meli hiyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Balozi Batilda Burian, alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa…
-
Na Ummy Kondo, Dodoma Wanakikundi wa PMO LEYD wametembelea na kutoa misaada mbalimbali kwa wazee wa Kambi ya wazee Sukamahela Wilayani Manyoni, Singida. Msaada hiyo ilitolewa na wanakikundi hao hivi karibuni ikiwa ni sehemu ya taratibu na utamaduni wa kikindi hicho ili kuyafikia makundi yenye uhitaji na kwamba watumishi, mashirika na watu binafsi wajenge utaratibu…