Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
- DC Moyo Agawa Miche ya Mikorosho kwa Wakulima Nachingwea
- Mt. Kizito Makuburi – Buriani Baba Pengo (Official Music Video)
about
Category: Uncategorized
-
Na Farida Mkumba Wataalamu mbalimbali wa Bajeti kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa wamekutana Jijini Dodoma na kufanya mapitio ya mpango mkakati wa Chuo hicho kuanzia 2026 hadi 2031. Mafunzo hayo ya siku tano kuanzia Tarehe 06 hadi 09 Januari, 2026 yametolewa na Kurugenzi ya Mipango ya Mipango ya Chuo hicho ili kuwapa uelewa mpana…
-
Na Tabia Mchakama, Zanzibar Serikali imeitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) kuendelea kusimamia kikamilifu upatikanaji wa huduma za bima nchini hususani zinazowahusu wageni kutoka nje ili kuboresha huduma hiyo na kuendelea kuvutia wawekezaji, watalii na wafanyabiashara kwa maslahi ya taifa. Maelekekezo hayo yalitolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa…
-
By Alvar Mwakyusa The Tanzania Revenue Authority (TRA) has recorded an unprecedented revenue performance in the first half of the 2025/26 financial year after collecting Sh18.77 trillion between July and December 2025, surpassing its target by more than 3.7 per cent. The collections reflect a growth of 13.6 per cent compared to Sh16.52 trillion collected…
-
Na Vincent Mpepo Mtaalamu wa huduma za ushauri wa kitaalamu Innocent Deus amewataka wasomi katika fani za sanaa na sayansi za jamii kudhihirisha mchango wao katika utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii kupitia eneo la ushauri wa kitaalamu. Aliyasema hayo wakati wa mafunzo ya kitaalamu kwa wanataaluma na waendeshaji katika Kitivo cha Sanaa na Sayansi…
-
Na Vincent Mpepo Wanataaluma katika taasisi za elimu ya juu nchini wametakiwa kufanya tafiti zenye kuleta matokeo chanya, ikiwemo kutatua changamoto mbalimbali za kijamii na kubadili maisha ya wananchi, badala ya kuzihifadhi kabatini mara baada ya kuhitimu. Wito huo umetolewa na washiriki wa mafunzo ya ushauri wa kitaalamu ya siku mbili yaliyoanza leo katika Ukumbi…
-
Chuo cha serikali za mitaa warejea na makombe saba (7) na medali za kutosha katika mashindano ya SHIMIVUTA 2025 yaliotamatika 22 Disemba, 2025 mkoani Tabora. Makombe hayo ni pamoja na kombe la mpira wa pete (mshindi wa kwanza) na kwa wanaume ( mshindi wa pili) kombe la mpira wa mikono kwa wanawake (mshindi wa tatu),…
-
Na Vincent Mpepo Watanzania wanaosafiri kuelekea maeneo mbalimbali nchini, hususan washarika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wametakiwa kuwa waangalifu nyakati za mwisho wa mwaka kutokana na changamoto mbalimbali za usafiri. Wito huo umetolewa na Mwinjilisti Kiongozi wa Mtaa wa Kwembe, Emeline Mnzava, jana wakati wa ibada ya Siku ya Nne ya Majilio…