Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Waziri Kombo Akutana na Jumuiya ya Diaspora ya Tanzania Nchini Korea
- Dkt. Mwigulu Akagua Ujenzi wa Barabara ya Bilioni 29.6 Itigi
- Mhadhara wa Profesa Waibua Fursa na Changamoto za Uchumi wa Viwanda
- Wizara ya Mambo ya Ndani Kuajiri Watumishi 10,919 Kuimarisha Usalama Nchini
- Madini Yafungua Fursa Mpya za Uchumi Ruangwa
about
Category: Uncategorized
-
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limeendelea kusisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya usalama pamoja na matumizi sahihi ya elimu, vipaji na ubunifu wa vijana katika kudumisha amani, mshikamano na maendeleo ya jamii. Wito huo umetolewa Mei 8, 2026 na Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Ruvuma,…
-
Na Mwandishi Wetu, Songea Wamiliki wa kampuni za ulinzi mkoani Ruvuma wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo na kulipa stahiki za askari wao kwa wakati, ili kuwaepusha na vitendo vya uhalifu kama vile wizi wa mali za wananchi pamoja na kuchukua mikopo yenye riba kubwa inayosababisha kukosa uadilifu kazini. Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Polisi Jamii…
-
Na Cosmas Msuha Tume ya Madini, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), inaendelea kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo nchini ili kuboresha ujuzi wao na kuongeza tija katika sekta ya madini na uendelezaji wa Taasisi ya Uchimbaji Mdogo wa Madini (FADev). Akizungumza na wananchi Aprili 19, 2026 mkoani Morogoro, mwakilishi wa…
-
Na Cosmas Msuha Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuimarisha ushirikiano wa kibunge kimataifa kupitia ushiriki wake katika Mkutano wa 5 wa Mabunge ya Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM-PN). Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Daniel Sillo (MB), akimwakilisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, alitoa msimamo huo wakati…
-
Na Mwandishi Wetu, Songea Wanafunzi wa Shule ya Msingi Juhudi iliyopo Kata ya Ruvuma, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wametakiwa kuzingatia nidhamu na kujituma katika masomo ili waweze kutimiza ndoto zao za kielimu na kuwa raia bora wa baadaye. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Songea, Mkaguzi wa…
-
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mahakama ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela Saidi Saidi Chalamanda (49), mkazi wa Kijiji cha Fundimbaga, baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki pombe haramu aina ya gongo. Hukumu hiyo ilisomwa Aprili 14, 2026 na Hakimu wa Mahakama hiyo, S.J. Mwampashe, kufuatia ushahidi uliowasilishwa mahakamani…
-
Na Cosmas Msuha Katika juhudi za kudumisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa, vijana wametakiwa kuwa wakakamavu, wazalendo na kuichukia rushwa inavyochangia mmomonyoko wa maadili nchini. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, wakati akizindua programu ya “Vijana Plattform” iliyoambatana na semina ya makundi mbalimbali ya vijana katika Manispaa ya Ubungo jijini…
-
Na Vincent Mpepo Makundi sogozi ya mitandao ya kijamii kama WhatsApp, Telegramu na programu tumizi nyingine tunazozifahamu ni matokeo ya maendeleo ya sayansi, teknolojia ya habari na mawasiliano na yamekuwa ni njia yenye nguvu na rahisi katika mawasiliano na kujenga ushirikiano katika jamii. Ikumbukwe kuwa matumizi ya makundi haya huwa na taratibu zinazoongoza uendeshaji wake…
-
Na Farida Mkumba, Dodoma Hospitali ya Afya ya Akili ya Taifa Mirembe imeombwa kuimarisha ushirikiano na taasisi binafsi ili kuwezesha tathmini ya watoto wenye usonji kufanyika kila robo mwaka, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za matibabu na ufuatiliaji wa karibu. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza, Dkt. Omary Ubuguyu, kwa niaba…