Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- Tanzania Yaunga Mkono Kuimarisha Ushirikiano wa Kibunge kupitia NAM-PN
- Nidhamu Yatajwa Kuwa Msingi wa Mafanikio kwa Wanafunzi Songea
- Gongo Lita 4.5 Yampeleka Jela, Afungwa Miaka 3
- Fursa za Kiuchumi, Uzalendo: Njia Muhimu kwa Maendeleo ya Vijana Tanzania
- Dhana ya Makundi Sogozi, Taratibu zake na Wahusika Wake katika Jamii
about
Category: Uncategorized
-
Na Yusra Temba Wahudumu wa afya 58 wamehitimu mafunzo ya muda mfupi ya kipimo cha moyo kwa kutumia teknolojia ya Echo (Echocardiography), katika mahafali yaliyofanyika Ijumaa, tarehe 27 Machi, jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Taasisi…
-
Na Cosmas Msuha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amewataka wanahabari wanawake nchini kushirikiana kwa karibu na jamii ili kusaidia kuinua sauti ya mwanamke kupitia vyombo vya habari. Akizungumza katika Kongamano la “Malkia wa Habari” lililofanyika Machi 28, 2026 katika Ukumbi wa Hoteli ya Rungwe, Sinza jijini Dar es Salaam, Kairuki alisisitiza…
-
Na Mwandishi Wetu Tanzania inaelekea kufungua ukurasa mpya katika sekta ya madini kufuatia mipango ya kuendeleza uchimbaji wa madini ya niobium katika eneo la Panda Hill, mkoani Mbeya. Madini haya adimu yana umuhimu mkubwa duniani kutokana na matumizi yake katika kuimarisha chuma, sekta ya anga, pamoja na teknolojia za kisasa. Akizungumzia maendeleo hayo, Waziri wa…
-
Na Cosmas Msuha Tanzania imepiga hatua muhimu katika sekta ya madini baada ya kusaini makubaliano ya kimkakati na Marekani kwa ajili ya kuendeleza mradi wa madini ya Niobium wa Panda Hill. Hatua hii inalenga kuifanya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji na usindikaji wa madini hayo adimu duniani. Akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini jijini…
-
Na Vincent Mpepo, (Kwa msaada wa mtandao). Makundi ya WhatsApp na Telegramu katika taasisi za kidini, kama makanisa na jumuiya za waumini, yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kiroho na kijamii katika ulimwengu wa leo wa teknolojia. Kupitia makundi haya, waumini hupata nafasi ya kuwasiliana kwa haraka, kushirikishana taarifa muhimu na kuimarisha mshikamano wa kiimani…
-
Na Mwandishi Wetu, Pwani Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia kutoka Mkoa wa Pwani, wakiongozwa na Sajini Taji Wandwi Patrick, wametoa msaada kwa watoto wanaolelewa katika Kituo cha kulea wahitaji cha Buloma kilichopo Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani. Tukio hilo limefanyika leo ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa matendo ya huruma kwa jamii, hususan…
-
Na Vincent Mpepo Makundi sogozi ya mitandao ya kijamii kama WhatsApp, Telegramu ni matokeo ya maendeleo ya sayansi, teknolojia ya habari na mawasiliano na yamekuwa ni njia rahisi na yenye nguvu ya kuwasiliana na kushirikiana. Ikumbukwe kuwa matumizi ya makundi haya huwa na taratibu zinazoongoza uendeshaji wake na wakati mwingine yanapaswa kuwekewa vigezo au masharti…
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Ilala, Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SSP) Salum Morimori, amewataka wamiliki wa magari ya kusafirisha wanafunzi kuhakikisha wanaajiri madereva wenye sifa stahiki ili kuimarisha usalama wa watoto barabarani. Akizungumza hivi karibuni katika viwanja vya Shule ya Msingi Olimpio wakati wa zoezi la…
-
Mfumo wa Huduma za Dharura, Usalama Barabarani Wazinduliwa: Hospitali ya Amana Kuwa Kitovu cha Mradi
Na Cosmas Msuha Serikali imezindua mradi maalum wa kuboresha huduma za dharura na usalama barabarani katika jiji la Dar es salaam kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka nchini Japan wenye lengo la kupunguza madhara kwa wahanga wa ajali za barabarani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa huduma hizo jana jijini Dar es salaam, Mganga…