Category: Uncategorized

  • Na Mwandishi Wetu, Haydom, Manyara Madereva wa magari na pikipiki katika Mji Mdogo wa Haydom, Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, wamekumbushwa kuendelea kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya watumiaji wa barabara. Wito huo umetolewa na Koplo (CPL) Andrea Mbona wa Kikosi cha Usalama Barabarani Haydom, ambaye aliwataka madereva kuzingatia taratibu…

  • Na George Gabriel Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Christopher Edward Magala, amefungua rasmi mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Kata ya Likokona, yakilenga kuwajengea washiriki uzalendo, nidhamu na ujuzi wa msingi wa ulinzi na usalama wa Taifa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo uliofanyika Julai 13, 2026, katika…

  • Na  Jastini Bukebuke Madereva wa bodaboda na bajaji za mizigo katika Mtaa wa Shinyanga A, Kata ya Nyakafulu, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, wamepatiwa elimu kuhusu umuhimu wa ulinzi shirikishi na malezi bora ya watoto, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usalama na ustawi wa jamii. Akitoa elimu hiyo juzi, Staff Sajenti (SSGT) wa Jeshi…

  • Na Mwandishi Wetu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kwa kushirikiana na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), wamezindua programu maalum ya kuwajengea uwezo na kuwathibitisha Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Alex Makulilo, alisema programu hiyo si semina ya…

  • Na George Gabriel Timu ya Nanyumbu Veterans imezindua rasmi jezi zake mpya katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Lindi Veterans uliochezwa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mangaka, Wilaya ya Nanyumbu. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya mabao 1-1, huku ukishuhudiwa na mashabiki wengi na kuambatana na ushindani mkubwa. Lengo la mchezo huo lilikuwa kuimarisha…

  • Na Yusra Temba Mzize Foundation kwa kushirikiana na GSM Foundation imeandaa Tamasha la ‘Washike Mkono’, lililofanyika jana katika Uwanja wa Samora mkoani Iringa, likiwa na lengo la kukusanya rasilimali kwa ajili ya kuwapatia madereva wa bodaboda kofia ngumu (helmeti) na kuchangia vifaa tiba katika vituo mbalimbali vya afya mkoani humo. Mgeni rasmi katika tamasha hilo…

  • Na Yusra Temba Harakati za kukuza utalii nchini zimeendelea kushika kasi baada ya mamia ya washiriki kutoka ndani na nje ya Tanzania kushiriki mbio za Arusha Tourism Marathon zilizofanyika jana ndani ya Hifadhi ya Taifa Arusha, zikilenga kuhamasisha utalii kupitia michezo. Mashindano hayo yalijumuisha mbio za kilometa 2.5, 5, 10 na 21, mbio za baiskeli, burudani ya…

  • Na Jastini Bukebuke, Geita Mafundi ujenzi wapatao 460 kutoka mikoa ya Geita na Mwanza wamehimizwa kufanya kazi kwa weledi, uaminifu na uadilifu ili kujenga imani kwa wateja, kuboresha huduma wanazotoa na kuinua ustawi wa maisha yao. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, wakati akifungua semina maalum iliyoandaliwa na…

  • Na Farida Mkumba Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, amepongeza mchango wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) katika kuandaa wataalamu wenye uwezo wa kusimamia na kuendeleza utawala wa Serikali za Mitaa nchini. Magoti alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la LGTI katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA),…

  • Na Jastini Bukebuke, Geita Mkaguzi wa Polisi Kata ya Nyakafulu, INSP Denis Rwehumbiza, amewataka wanafunzi kutovumilia wala kuficha vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa nyumbani au shuleni, badala yake watoe taarifa kwa walimu, wazazi, viongozi wa maeneo yao au Jeshi la Polisi ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi ya wahusika. Rai hiyo ameitoa leo alipokuwa akitoa…