Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
- DC Moyo Agawa Miche ya Mikorosho kwa Wakulima Nachingwea
- Mt. Kizito Makuburi – Buriani Baba Pengo (Official Music Video)
about
Category: Uncategorized
-
Na Mwandishi wetu, Nachingwea Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Fadhili Liwaka ameahidi kuwalipia bodaboda zaidi 300 shilingi Elfu tano (5000) kwa Kila bodaboda atakayekwenda kununua kofia ngumu kwenye duka maalum alilolipendekeza. Akizungumza katika kikao kazi na bodaboda hao hivi karibuni, Mbunge Liwaka alisema kuwa ameamua kuwaunga mkono kwa kiasi hicho cha fedha kwa lengo kuwaondolea…
-
https://drive.google.com/file/d/13nLFSd1ZCvKoaNqyc1FRw3dwxTRtL-Ly/view
-
Na Athuman Kajembe, Nachingwea Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, Mohamed Hassan Moyo, ameonesha kukerwa baada ya kubaini ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nammanga, Kata ya Ruponda, unaendelea bila kufuata Hati ya Makadilio Kiasi cha Kazi (BOQ) kama ilivyoainishwa na serikali. Akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi huo, DC Moyo alisema…
-
Na OWM (KAM) – DODOMA Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepongezwa kwa hatua kubwa ilizochukua katika kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi, hususan utoaji wa fidia kwa wafanyakazi wanaokumbana na madhila ya ajali ama ugonjwa unaotokana na kazi. Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano…
-
Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maliasili na Utalii imesema ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za World Travele Award 2025 ikiwemo tuzo kubwa ya Utalii wa safari bora duniani ni uthibitisho kuwa nchi ina vivutio vya utalii vinavyokubalika kimataifa. Akizungumza Desemba 8, 2025 mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere…
-
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka viongozi wa makundi ya mitandao ya kijamii, hususan WhatsApp, kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi, uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Desemba 8, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, alipoungana na Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania (TPF-Net) mkoani humo kutoa…
-
Na Vincent Mpepo Walimu wanaosoma somo la Kifaransa kama mmoja ya somo la kufundishia wametakiwa kuwekeza nguvu nyingi na kujibidiisha kwani kuna fursa nyingi za ajira za ndani na nje ya nchi kupitia lugha hiyo. Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki katika mijadala mbalimbali ya Siku ya Walimu wa Kifansa Duniani iliyofanyika katika Ukumbi wa…