Category: Uncategorized

  • Na Cartace Ngajiro, Tanga Katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwa mwaka 2026 watumishi wanawake  wa Bandari ya Tanga waliungana na wafanyakazi wanawake wa kutwa wa bandari hiyo kufanya matendo ya huruma. Wanawake hao wametoa msaada wa mashine za kusaidia upumuaji aina ya “C- PAP Bubble Neonates, Oxygen Flowmeter” pamoja   na vifaa mbalimbali  katika Hospitali…

  • Na Mwandishi wetu,Nachingwea-Lindi Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mohamed Hassan Moyo, ameipongeza Kamati ya Lishe ya Wilaya pamoja na Maafisa Lishe kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa masuala ya lishe wilayani humo. Moyo alitoa pongezi hizo jana wakati wa kikao cha tathmini ya Mkataba wa Lishe kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026.…

  • Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nzuguni iliyopo jijini Dodoma wamepata fursa ya kujifunza na kufahamu huduma mbalimbali zinazotolewa na Chuo cha Serikali za Mitaa.  Maelezo nae limu hiyo waliipata jana baada ya kutembelea banda la maonyesho la chuo hicho katika maadhimisho ya siku 100 za mafanikio ya serikali ya Rais wa…

  • Na Cosmas Msuha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, ametembelea Banda la Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) wakati wa Maonesho ya Mafanikio ya Siku 100 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maonesho hayo yalifanyika jana, katika Uwanja wa Nyerere Square jijini Dodoma yakibeba kaulimbiu “Kero yako,…

  • Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Jacqueline Mzindakaya akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu utekelezaji wa bima ya afya kwa wote. Na Cosmas Msuha Serikali imepongezwa kwa kuendelea kutekeleza mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, hatua inayolenga kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma za afya bila kujali uwezo wake wa kifedha. Pongezi…

  • Na Mwandishi Wetu Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Ruvuma (TPF–NET) umeendelea kuonyesha moyo wa kujali jamii baada ya kutembelea na kutoa msaada kwa watoto wenye mahitaji katika Kituo cha kulelea watoto yatima cha Mfaranyaki, kilichopo Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma. Ziara hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa TPF–NET Mkoa wa Ruvuma, Mrakibu wa Polisi (SP)…

  • Na Cosmas Msuha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU Mkoani Rukwa imefanikiwa kudhibiti vitendo vya rushwa katika miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.7 kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba mwaka 2025. Mkuu waTAKUKURU Mkoa wa Rukwa,  Mzalendo Widege  aliyasema hayo katika taarifa yake kwa umma ambapo inaonesha kwa kipindi cha…

  • Na Cosmas Msuha Waziri wa Mifugo na Uvuvi Balozi Dkt. Bashiru Ally amefanya ziara mkoani Geita na kugagua maendeleo ya ujenzi wa miundombinu ya Soko la Kimataifa Samaki la Chato na kumtaka mkandarasi kukamilisha ujenzi wa mtambo wa kukaushia dagaa kabla ya mwezi April mwaka huu. Dkt. Bashiru alitoa maagizo hayo Februari 28, 2026 baada…

  • Na Mwandishi Wetu, Nachingwea – Lindi Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mohamed Hassan Moyo ameongoza zoezi la ugawaji wa miche zaidi ya elfu sabini ya mikorosho kwa wananchi, ikiwa ni juhudi za kuongeza uzalishaji wa zao la korosho wilayani humo. Akizungumza wakati wa zoezi hilo tarehe 23/02/2026, Moyo alisema serikali imeamua kuwapatia wakulima miche hiyo…