Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
Category: Uncategorized
-
Na Vincent Mpepo, Mtwara Wanandoa katika jamii wametakiwa kuishi kwa upendo, kusameheana na kuvumilana kwa kuwa kila mwanadamu ana udhaifu wake na hakuna mkamilifu. Wito huo ulitolewa jana na Paroko wa Parokia ya Yesu Kristo Mkombozi – Magomeni, Jimbo Katoliki la Mtwara, Padre Silvanus Chikuyu wakati wa mahubiri katika ibada ya ndoa kati ya Edgar…
-
Na Damasi Kalembwe-Dar es Salaam Shule ya Sekondari Saranga iliyopo Mtaa wa Matangini, Kata ya Saranga, imefanya mahafali ya kuhitimu Kidato cha Nne ambapo pamoja na sherehe hizo, wanafunzi na wazazi walipata elimu ya ushirikishwaji jamii kutoka Jeshi la Polisi. Katika mahafali hayo, Polisi wa Kata ya Saranga Insp. Elias na Polisi wa Kata ya…
-
Na Vincent Mpepo, Karatu Wakristo wamekumbushwa faida na umuhimu wa kumtolea Mungu kwa uaminifu sadaka mbalimbali hususani fungu la kumi. Ukumbusho huo umetolewa na Mwalimu wa neno la Mungu, Tumsifu Lema katika mahubiri wakati wa ibada ya kwanza katika ibada Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) leo, katika Usharika wa Karatu Mjini, Dayosisi ya Kaskazini,…
-
By Vincent Mpepo It has been emphasized that men in society should seek happiness and strengthen their bonds with their families in order to live longer, healthier lives in order to reduce mental health challenges, stress and the risks of early death when compared to women. These insights were shared by participants in an online…
-
Na Vincent Mpepo, Karatu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mstaafu, Profesa Elifas Bisanda ametoa wito kwa mamlaka za elimu kuingiza masomo ya Astronomia (anga za mbali) katika mtaala wa elimu kuanzia ngazi ya shule za msingi ili kuandaa wataalamu wa baadaye katika sekta hii mpya na inayochipukia kwa kasi. Akizungumza katika siku…
-
Na Mchungaji Hang’tone Kabuta
-
By Vincent Mpepo, Karatu The government has pledged continued collaboration with both local and international institutions to improve the environment for tourism activities, aiming to increase the number of visitors—particularly through the introduction of new tourism products and attractions. This was stated by the Permanent Secretary of the Ministry of Natural Resources and Tourism, Dr.…
-
Na Vincent Mpepo Imeelezwa kuwa wanaume katika jamii wanapaswa kujitafutia furaha na kujifungamanisha na familia zao ili waishi maisha mazuri yatakayowaongezea maisha marefu na kuwapunguzia msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili na kupunguza vifo vyao ikilinganishwa na wanawake. Hayo yamebainishwa na washiriki wa semina ya wanaume kwa njia ya mtandao iliyofanyika 16/09/2025…
-
Na Mwandishi wetu, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia utoaji wa mgari 24 kwa Jeshi la Polisi ikiwa ni vitendea kazi muhimu vitakavyosaidia utekelezaji wa majukumu ya jeshi hilo. Shukrani hizo alizitoa Septemba 16,2025 kwenye hafla fupi ya…