Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
- DC Moyo Agawa Miche ya Mikorosho kwa Wakulima Nachingwea
- Mt. Kizito Makuburi – Buriani Baba Pengo (Official Music Video)
about
Category: Uncategorized
-
By Vincent Mpepo It has been emphasized that men in society should seek happiness and strengthen their bonds with their families in order to live longer, healthier lives in order to reduce mental health challenges, stress and the risks of early death when compared to women. These insights were shared by participants in an online…
-
Na Vincent Mpepo, Karatu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mstaafu, Profesa Elifas Bisanda ametoa wito kwa mamlaka za elimu kuingiza masomo ya Astronomia (anga za mbali) katika mtaala wa elimu kuanzia ngazi ya shule za msingi ili kuandaa wataalamu wa baadaye katika sekta hii mpya na inayochipukia kwa kasi. Akizungumza katika siku…
-
Na Mchungaji Hang’tone Kabuta
-
By Vincent Mpepo, Karatu The government has pledged continued collaboration with both local and international institutions to improve the environment for tourism activities, aiming to increase the number of visitors—particularly through the introduction of new tourism products and attractions. This was stated by the Permanent Secretary of the Ministry of Natural Resources and Tourism, Dr.…
-
Na Vincent Mpepo Imeelezwa kuwa wanaume katika jamii wanapaswa kujitafutia furaha na kujifungamanisha na familia zao ili waishi maisha mazuri yatakayowaongezea maisha marefu na kuwapunguzia msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili na kupunguza vifo vyao ikilinganishwa na wanawake. Hayo yamebainishwa na washiriki wa semina ya wanaume kwa njia ya mtandao iliyofanyika 16/09/2025…
-
Na Mwandishi wetu, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia utoaji wa mgari 24 kwa Jeshi la Polisi ikiwa ni vitendea kazi muhimu vitakavyosaidia utekelezaji wa majukumu ya jeshi hilo. Shukrani hizo alizitoa Septemba 16,2025 kwenye hafla fupi ya…
-
Na Vincent Mpepo Wakuu wa idara, wakurugenzi na maafisa udhibiti ubora katika taasisi za elimu ya juu nchini za umma na binafsi wameelezea fursa na changamoto za matumizi ya akili mnemba (AI) katika taaluma huku wito ukitolewa kwa serikali, vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kuwekeza katika eneo hilo. Hayo yamebainishwa na washiriki…