Kusini Kwetu
Habari za ndani na nje nchi
recent posts
- TAKUKURU Kuendelea Kufuatilia, Kuthibiti Matumizi Fedha za Miradi ya Serikali
- BARIKIWA NA NYIMBO ZA KWARESMA
- Kukamilika Soko la Samaki Kutaibua Fursa za Uchumi, Ajira kwa Wananchi
- DC Moyo Agawa Miche ya Mikorosho kwa Wakulima Nachingwea
- Mt. Kizito Makuburi – Buriani Baba Pengo (Official Music Video)
about
Category: Uncategorized
-
Na Damasi Kalembwe Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Acp Pili Misungwi amekabidhi pikipiki mbili kwa watendaji wa dawati la jinsia na watoto Wilaya ya Kimara na Kinondoni. Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika kituo cha Polisi Oystebay ambapo yamehudhuriwa na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali Mkoa wa kinondoni. Watendaji wa dawati la jinsia…
-
Na Sylvester Onesmo-Dodoma Mgombea urais wa Chama Cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele, ameahidi iwapo atapewa ridhaa na watanzania kuiongoza nchi, serikali yake itahakikisha wafanyakazi wanajengewa nyumba wakiwa bado kazini ili kuondoa hofu ya maisha magumu baada ya kustaafu. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea urais akiwa na Mgombea mwenza Masoud Ali bdallah katika…
-
Na Damasi Kalembwe Mkuu wa Ushirikishwaji wa Jamii Mkoa wa Kinondoni, ACP Ally Wendo amezindua kituo cha polisi kinachohamishika cha Kuzidi maeneo ya Goba, Kinzudi jijini Dar es salaam. Uzinduzi huo ulifanyika juzi na ulihudhuriwa na maafisa wa jeshi hilo, wakaguzi, askari wa vyeo mbalimbali, viongozi wa serikali ya mtaa na wananchi wa mtaa huo. Katika uzinduzi huo,…
-
Na Vincent Mpepo Wadahiliwa wa Shahada za Uzamili na Uzamivu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Mkoa wa Dar es salaam wameelezea mipango na mikakati yao binafsi ili kuhakikisha wanamaliza masomo yao kwa wakati na kwa mafanikio. Wakizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano, wadahiliwa hao walionesha kufurahia mafunzo elekekezi yaliyotolewa na chuo hicho kwani yamewafungua…
-
Na Mack Francis-Arusha Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulazizi Abubakari Chende almaarufu Dogo Janja, ameibuka mshindi wa kura za maoni na kutangazwa rasmi kuwa mgombea udiwani wa CCM katika Kata ya Ngarenaro, jijini Arusha. Katika uchaguzi huo wa ndani wa chama uliofanyika hivi karibuni,…
-
Na Mack Francis – Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuweka mikakati ya pamoja ya kupambana na rushwa. Majaliwa alitoa wito huo hivi karibuni 2025 Jijini Arusha wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu…
-
Na Mack Francis-Arusha Serikali imetoa shilingi bilioni 139 kwa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara kwa ajili ya kuwezesha utekelezaji wa miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji, ikiwa ni jitihada za kuwaondoa wakulima kwenye kilimo cha kutegemea mvua. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga aliyaema hayo wakati akifungua Maonesho ya 31 ya Kilimo na…
-
Na Mack Francis, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Marianne Louise Young wamekubnaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya afya na utalii mkoani Arusha. Mazungumzo hayo yalifanyika hivi karibuni wakati Balozi Young akiwa ziarani mkoani humo, akiambatana na Mkuu wa Diplomasia ya Uchumi wa Ubalozi wa Uingereza nchini,…
-
Na Cartace Ngajiro Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda amewaasa wafanyabiashara wa mazao ya kilimo nchini kutumia Bandari ya Tanga kusafirsha mazao yao kwenda kwenye Soko la Kimataifa. Pinda aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nanenae Kanda ya Mashariki 2025, yanayojumuisha Mikoa minne Tanga, Dar es Salama, Pwani na Morogoro yanayofanyika katika Uwanja…